Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,497
- 2,156
Haya mambo ni hatareee sana mwanzo life coded nilikua nambishia sana kuhusu haya mambo ya kiiman za kimungu.
kunasiku nilimuuliza mchungaj juu ya ile kauli ya "MIMI MUNGU MWENYE WIVU" jibu alilonipa sita kaaa niende kanisan tena.
kunasiku nilimuuliza mchungaj juu ya ile kauli ya "MIMI MUNGU MWENYE WIVU" jibu alilonipa sita kaaa niende kanisan tena.