Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,323
Acha hizo Mr Valentine.Sasa ukijiuwa si ndio unawaachia waungwana wajisevie kwa raha zao!! huyo lazima atakuwa mnyarukolo.
Hata mimi usipotokea siku ya Valentine najinyonga na uzi wa kushonea nguo.