Unajiona unawine kwakauli zako,Zanzibar ni nchi kamili kwa 100%, lakini ipo kwenye 'shirikisho' linaloitwa Tanzania.
Tanganyika ni shamba la bibi ambalo kila mgeni anaweza kuingia na kuvuna chochote. Sisi wazanzibar, wengine warundi, warwanda, wakongo, wakenya, waganda, waarabu, wahindi, wachina, wazungu nk. kila siku tunavuna kwenye hilo shamba la bibi.
Watanganyika msitegemee kuna mtu kutoka nje atakuja kuwapigania, unganeni pamoja muipiganie Tanganyika yenu. Mjiandae kulipa gharama. Woga wenu ndio unawagharimu sasa.
Nani anawalazimisha Zanzibar wabaki kwenye Muungano?Tunatakiwa tujiulize sisi watanganyika kwa ujumla, kwanini tunawalazimisha wazanzibar kuwa kwenye muungano?
Matokeo yake tunawapendelea wazanzibar ili tu wabaki kwenye muungano
Kipi kinawazuia kuwa na hayo maendeleo?Kwani kinachofanya tuwang'ang'anie ninn? Mbona sisi ndio wakwanza kukumbatia muungano? Kwanza tuna roho mbaya tunaona day tukiwaachia mwaka mmoja tu watakua na maendeleo kwa muda mdogo, lakini kutokana na tohozetu mbaya hatutaki tuwape uhuru wao
labda ukarimu wa biashara ya utumwa.Pole ya nini?? Mnaumia mno mukickia neno "waarabu" hivi kuna jamii yoyote duniani watu wake wakarimu kama waarabu? Tusemeni ukweli bila kutia chuki mzehe. Wewe kama wanakukera kaa kimya mzehe
labda ukarimu wa biashara ya utumwa.
Sehemmu zote centre za biashara hiyo uislamu ulishamiri.Biashara ya utumwa labda walifanya mababu zenu/machief wakishirikiana na makafiri wa kizungu,,,waarabu mtawasingizia bure tu mzehe.
Sehemmu zote centre za biashara hiyo uislamu ulishamiri.
Ujiji, Tabora, Bagamoyo, Zanzibar hatuji kwanini waarabu waliokaa ndio masoko ya utumwa yalishamiri
tueleze mkuu.
Jibu kamili ni kuwa uislamu na waarabu wanamchango mkubwa sana kwenye biashara ya utumwa.Acha dhana zako,,,,wakati wanafanya huo unyambafu ulikuwepo? Najuwa hautakuja na jibu kamili mzehe
Sawa sawa.This is USA of Africa where a foreigner can be an RC, DC and Commandes in Chief of armed Forces
Akina Tiptip walikuwa wazungu wa wapi?Biashara ya utumwa labda walifanya mababu zenu/machief wakishirikiana na makafiri wa kizungu,,,waarabu mtawasingizia bure tu mzehe
Akina Tiptip walikuwa wazungu wa wapi?
1:- Rais Mwinyi (Mzee ruhusa), aligombania na kuwa rais wa Zanzíbar, na baadae kuwa wa Tanzania.Wakuu habari
Nipo hapa natafakari huu muungano wetu ambao binafsi nauona umekosa usawa kabisa
Kuna hili suala la urais na umiliki wa mali katika muungano huu.
N rahis kwa mzanzibar kumiliki ardhi TANGANYIKA kuliko MTANGANYIKA kumiliki ardhi Zanzibar
Kama muungano huu n wa usawa mbona unaubaguzi ndani yake nayasema haya nikiwa Zanzibar hapa kiutafutaji toka wiki iliyopita nikajaribu kufuatilia taratibu za umiliki wa ardhi kiukwel n ngumu mno kupata ardhi yaaan watoto wa mjin wanasema kwa mbinde Sana
SUALA LA URAIS. nalo naona n kizungumkuti Sana kwann watu wabara au Watanganyika hawatakiwi KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR lakn mzanzibar anaruhusiwa kugombea urais TANGANYIKA
RAIS SAMIA amewatoa mashekhe wanuamsho mahabusu lakn ameshindwa kuwatoa mashekhe mbalimbali ambao wapo magereza au mahabusu maeneo mablimbli Tanzania je Rais huyu yupo kwa maslah ya wazanzibar pekee Kama haki angetenda kwa wote
Tumeona pesa za covid zilizokopwa zimepelekwa had Zanzibar kujenga shule hospitali je mikopo wanayo kopa wenzetu wa Zanzibar lini ililetwa huku bara na sisi tukajenga shule na zahanati?
Huu muungano n wakuangaliwa kwa jicho la pili umekuwa wa kuwadekeza wazanzibar huku TANGANYIKA ikinyonywa
Usituingize Waislam wa Bara katika mambo yenu. Hamna huruma hiyo kwa Waislam. Tutoe kwenye Agenda yenu.Kuwalazimisha ni neno zito kidogo sababu mbona sasa hivi hatuwasikii, ila kwa ujumla huu muungano hatuna faida nao unatutia hasara tu na mbaya zaidi wazanzibari ni wabinafsi na wabaguzi, kule muislam wa Tanganyika nae anaitwa kafir tu.
Thubutuuukatiba mpya ndio jibu