pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Yooote hayo siyo tatizoWakuu habari
Nipo hapa natafakari huu muungano wetu ambao binafsi nauona umekosa usawa kabisa
Kuna hili suala la urais na umiliki wa mali katika muungano huu.
N rahis kwa mzanzibar kumiliki ardhi TANGANYIKA kuliko MTANGANYIKA kumiliki ardhi Zanzibar
Kama muungano huu n wa usawa mbona unaubaguzi ndani yake nayasema haya nikiwa Zanzibar hapa kiutafutaji toka wiki iliyopita nikajaribu kufuatilia taratibu za umiliki wa ardhi kiukwel n ngumu mno kupata ardhi yaaan watoto wa mjin wanasema kwa mbinde Sana
SUALA LA URAIS. nalo naona n kizungumkuti Sana kwann watu wabara au Watanganyika hawatakiwi KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR lakn mzanzibar anaruhusiwa kugombea urais TANGANYIKA
RAIS SAMIA amewatoa mashekhe wanuamsho mahabusu lakn ameshindwa kuwatoa mashekhe mbalimbali ambao wapo magereza au mahabusu maeneo mablimbli Tanzania je Rais huyu yupo kwa maslah ya wazanzibar pekee Kama haki angetenda kwa wote
Tumeona pesa za covid zilizokopwa zimepelekwa had Zanzibar kujenga shule hospitali je mikopo wanayo kopa wenzetu wa Zanzibar lini ililetwa huku bara na sisi tukajenga shule na zahanati?
Huu muungano n wakuangaliwa kwa jicho la pili umekuwa wa kuwadekeza wazanzibar huku TANGANYIKA ikinyonywa
Tatizo ni kwamba pia hatuwezi kuuvunja hata tukitaka🤣🤣🤣