Kwanini mnashangaa mafenesi, mapapai na mbuzi kukutwa na COVID-19/Corona?

Mnachokiandika sio kile alichokisema Magufuli.
Lakini yupo kwa silimia 100% maana akiliza watanzania zimekuwa polluted na politics za kipumbavu.
Kongore Magufuli dunia inahitaji vichwa kama nyie
HVI KIWANGO KIPI ULICHOTUMIA KUPIMA MPAKA UKAONA ETI DUNIA INAHITAJ MTU KAMA MAGU
 
Inaelekea ukienda kushoto huwezi geuka kulia!!??
 
Ja
SwalSwal he hao mbuz na mapapai yamekua contaminated saa ngap, kama ndo ivo basis mashine ndo IPO contaminated
We Jamaa unafurahisha, mashine ndio iko contaminated? Na mi najiuliza hivi kama yale manguo yao, sijui ndio PPE yapo contaminated hawawezi kuwaambukiza wagonjwa wanaowahudumia, au wanajipulizia dawa kila mara, au ukivaa Siku moja yanachomwa. Msaada tafadhari!!
 
Good questions

Sent using Jamii Forums mobile app
 
concern ya Raisi ni kwamba kuna uwezekano mkubwa taarifa zilizopo juu ya maambukizi ya COVID19 sii sahihi
Kwamba vile vifo 16 si vya Corona??

Kwamba zile case 480 zillizogundulika na Corona hazikuwa na Corona??

Kwamba huenda Tanzania kuna visa zaidi ya 480 ?

Toa ufafanuzi tafadhali?
 
Nimekuelewa vyema mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati sample za wagonjwa zinawekwa pembeni kumbe tulikuwa tunasubri sample za mapapai na mafenesi kwa amri kutoka juu.

Tanzania tulimkosea nini Mungu?
Sampuli 652 tu zimepimwa Tz na hata hizo tuna mashaka na majibu yake. South Africa wamepima sampuli takribani laki mbili mpaka leo.
 
Sijui hata nilitaka kusema nini,..bandugu kila mtu ajilinde yeye na familia yake kivyake hii nchi haisomeki sahizi,. nngekua Ummy nngekua najifungia ndani naliaaaaa
 
Sijui hata nilitaka kusema nini,..bandugu kila mtu ajilinde yeye na familia yake kivyake hii nchi haisomeki sahizi,. nngekua Ummy nngekua najifungia ndani naliaaaaa
Yes kujilinda ni muhimu sana sana. Hili ni suala la afya. Uhai. Kufa na kupona.

However, we must also pay attention to details.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba vile vifo 16 si vya Corona??

Kwamba zile case 480 zillizogundulika na Corona hazikuwa na Corona??

Kwamba huenda Tanzania kuna visa zaidi ya 480 ?

Toa ufafanuzi tafadhali?
Kila ulichotaja yawezekana kikawa zaid ama pungufu
 
Zaidi ya comedy of errors ,Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
 
Huoni kwamba anajiumbua mwenyewe? Huoni kwamba yupo kinyume na waziri Mkuu .

If that is the point; Hilo swala si ni lakufanyiwa kazi internally na kurekebishwa. Kutuambia Sisi ni kuonesha udhaifu wa Serikali nzima.
Think


Mk54
Alieleza hayo sababu kiongozi wa upinzani alimtuhumu na kudai kuwa amelifanya hilo janga km lake peke yake na mwishowe anafukuza makamanda katikati ya vita
 


Haya Matokeo Ya Mkemia Huko Mtwara Ya Watu Kudondoka Yasijekuwa Ya Mzilankende

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…