Kwanini mnamkomalia Mwambe peke yake?

Kwanini mnamkomalia Mwambe peke yake?

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,744
Reaction score
5,769
Mwacheni amalizie muda wake maana zimebaki siku chache ili bunge livunjwe. Sio mbunge peke yake ambae alishatangaza kuondoka CHADEMA.

Yeye aliondoka sababu kuna ukiritimba na matumizi mabaya ya pesa za chama. Makatibu wa wilaya hawalipwi, wabunge wanalazimishwa kuchangia chama kama vile wanalipia pango la nyumba.

Kuna wabunge zaidi ya wanne wameshatangaza wamehama CHADEMA na watagombea kupitia Nccr Mageuzi mbona hamjataka Spika awatimue bungeni?

Cecil Mwambe alisema amehama CHADEMA na atagombea kupitia CCM kwenda Bungeni kumalizia hizi siku kumi na nane ili avute mpunga wake mnaleta wivu. Mbona nyie watu mna sumu mbaya sana.

Wabunge wenu wameonyesha picha mbaya sana. Wametoroka bungeni baada ya kuweka kibindoni perdiem.

Hivyo mwacheni Mwambe akalie vile viti ambavyo nyie mlivikimbia mkisema vina Corona. Maana alivyoondoka Mwambe ni sawa na Komu na Selasini walivyoondoka.
N.b naweka randama ili wale bichwa maji wa chama flani wapate jibu sahihi.
 

Attachments

Mwacheni amalizie muda wake maana zimebaki siku chache ili bunge livunjwe. Sio mbunge peke yake ambae alishatangaza kuondoka Chadema.
Yeye aliondoka Chadema sababu kuna ukiritimba na matumizi mabaya ya pesa za chama. Makatibu wa wilaya hawalipwi, wabunge wanalazimishwa kuchangia chama kama vile wanalipia pango la nyumba.
Kuna wabunge zaidi ya wanne wameshatangaza wamehama Chadema na watagombea kupitia Nccr Mageuzi mbona hamjataka spika awatimue bungeni?
Cecil Mwambe alisema amehama Chadema na atagombea kupitia Ccm kwenda bungeni kumalizia hizi siku kumi na nane ili avute mpunga wake mnaleta wivu. Mbona nyie watu mna sumu mbaya sana.
Wabunge wenu wameonyesha picha mbaya sana. Wametoroka bungeni baada ya kuweka kibindoni perdiem.
Hivyo mwacheni Mwambe akalie vile viti ambavyo nyie mlivikimbia mkisema vina Corona.Maana alivyoondoka Mwambe ni sawa na Komu na Selasini walivyoobdoka.
Baba yake Cecil alikuwa Daktari maarufu na aliyeheshimika sana pale Ndanda Mission hospital.

Dr Mwambe alikuwa ni mwadilifu kweli kweli hata Cecil alishinda Uchaguzi kwa sababu ya umaarufu wa baba yake siyo yeye.

Cecil anapaswa kulikumbuka hilo pia...... anaweza akatumika sasa na baadae CCM wakamtosa kwa udhaifu huo huo.
 
Wamebaki kutumia #covid19 kama silaha yao... Hawajui inatwanga potepote
.
FB_IMG_15890502447690498.jpg
 
Baba yake Cecil alikuwa Daktari maarufu na aliyeheshimika sana pale Ndanda Mission hospital.

Dr Mwambe alikuwa ni mwadilifu kweli kweli hata Cecil alishinda Uchaguzi kwa sababu ya umaarufu wa baba yake siyo yeye.

Cecil anapaswa kulikumbuka hilo pia...... anaweza akatumika sasa na baadae CCM wakamtosa kwa udhaifu huo huo.
Kwa ujumla anainfluence kubwa maana Ccm walimletea mizengwe akaenda kujibanza Chadema na akashinda.
 
Mwacheni amalizie muda wake maana zimebaki siku chache ili bunge livunjwe. Sio mbunge peke yake ambae alishatangaza kuondoka Chadema.
Yeye aliondoka Chadema sababu kuna ukiritimba na matumizi mabaya ya pesa za chama. Makatibu wa wilaya hawalipwi, wabunge wanalazimishwa kuchangia chama kama vile wanalipia pango la nyumba.
Kuna wabunge zaidi ya wanne wameshatangaza wamehama Chadema na watagombea kupitia Nccr Mageuzi mbona hamjataka spika awatimue bungeni?
Cecil Mwambe alisema amehama Chadema na atagombea kupitia Ccm kwenda bungeni kumalizia hizi siku kumi na nane ili avute mpunga wake mnaleta wivu. Mbona nyie watu mna sumu mbaya sana.
Wabunge wenu wameonyesha picha mbaya sana. Wametoroka bungeni baada ya kuweka kibindoni perdiem.
Hivyo mwacheni Mwambe akalie vile viti ambavyo nyie mlivikimbia mkisema vina Corona.Maana alivyoondoka Mwambe ni sawa na Komu na Selasini walivyoobdoka.
Anakaa kama mbunge wa chama gani? Au ni mbunge wa kujitegemea? Na kama ni hivyo anatumia katiba/sheria gani kukalia hivyo viti. Usikute ni mgeni mwalikwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Komu na selasini wameamua kutoka chadema kwenda Nccr na watahama rasmi baada ya kumaliza ubunge wao

Mwambe alisema amejiuzulu nafasi zake za chama na ubunge wake.. Ni kama alivyofanya Nyarandu au je nyarandu nae anatakiwa kurudi bungeni?
 
Anakaa kama mbunge wa chama gani? Au ni mbunge wa kujitegemea? Na kama ni hivyo anatumia katiba/sheria gani kukalia hivyo viti. Usikute ni mgeni mwalikwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Komu na Selasini wanakaa kama wabunge wa Chama gani? Maana wameshatangaza kuhama na hawatagombe kupitia Chadema. Na yeye ndio hivyo hivyo. Majibu anayo spika, acheni amalizie ili avute posho.
 
Kwa hiyo Komu na Selasini bado wapo Chadema?
Ndio bado ni CHADEMA na kwa kuwa CHADEMA ni chama cha demokrasia wameheshimu mawazo yao. Wao wamesema Bunge hili likiisha watagombea kupitia NCCR- Mageuzi lakini hawajasema kwa sasa kwamba wameshahamia NCCR- Mageuzi.

Kwenye katiba ya CHADEMA hakuna mahala pameandikwa kwamba mtu akitangaza kwamba mbele ya safari atahama chama basi anakuwa amehama chama. Mwambe alihama chama.
 
Ndio bado ni CHADEMA na kwa kuwa CHADEMA ni chama cha demokrasia wameheshimu mawazo yao. Wao wamesema Bunge hili likiisha watagombea kupitia NCCR- Mageuzi lakini hawajasema kwa sasa kwamba wameshahamia NCCR- Mageuzi.

Kwenye katiba ya CHADEMA hakuna mahala pameandikwa kwamba mtu akitangaza kwamba mbele ya safari atahama chama basi anakuwa amehama chama. Mwambe alihama chama.
Ahaaa. Mtu mnatoa kwenye group la watsapp alafu unasema bado ni mwanachama wenu? Silinde je? Mwambe nafikiri hajakabidhi barua kwa spika. Alitangaza nia ya kuhama tu.
 
Komu na selasini wameamua kutoka chadema kwenda Nccr na watahama rasmi baada ya kumaliza ubunge wao

Mwambe alisema amejiuzulu nafasi zake za chama na ubunge wake.. Ni kama alivyofanya Nyarandu au je nyarandu nae anatakiwa kurudi bungeni?
Tutamuuliza spika atupe majibu maana labda vyombo vya habari vilimnukuu vibaya. Ila yeye na akina Selasini bado ni wabunge. Ndio maana bado alikuwa analipwa kama kawaida.Kwa hiyo hakuna sehemu ambapo katiba imesiginwa.
 
Kwani Komu na Selasini wanakaa kama wabunge wa Chama gani? Maana wameshatangaza kuhama na hawatagombe kupitia Chadema. Na yeye ndio hivyo hivyo. Majibu anayo spika, acheni amalizie ili avute posho.
Komu na selasini hawajarudisha kadi ya chama na hawajachukua kadi ya chama kingine chochote.hizi ni kesi mbili tofauti,bwana Mwambe amepokea kadi ya CCM mbele ya press conference.kiufupi bunge limeyumba,msitupoteze maboya kwa hoja zisizo na miguu
 
Komu na selasini hawajarudisha kadi ya chama na hawajachukua kadi ya chama kingine chochote.hizi ni kesi mbili tofauti,bwana Mwambe amepokea kadi ya CCM mbele ya press conference.kiufupi bunge limeyumba,msitupoteze maboya kwa hoja zisizo na miguu
Kukaa mbele ya press conference sio kuwa umerudisha kadi. Ni kutoa taarifa kwa Umma. Kwani wakati Edward Lowassa anakuja Cdm alirudisha ya Ccm? Akili zako lazima ziwe zinajiongeza mkuu.
 
Kwani Komu na Selasini wanakaa kama wabunge wa Chama gani? Maana wameshatangaza kuhama na hawatagombe kupitia Chadema. Na yeye ndio hivyo hivyo. Majibu anayo spika, acheni amalizie ili avute posho.
Komu na selasini hawajarudisha kadi ya chama na hawajachukua kadi ya chama kingine chochote.hizi ni kesi mbili tofauti,bwana Mwambe amepokea kadi ya CCM mbele ya press conference.kiufupi bunge limeyumba,msitupoteze maboya kwa hoja zisizo na miguu
 
Back
Top Bottom