Kwanini mnaibeza kauli ya Rais ya jana

Kwanini mnaibeza kauli ya Rais ya jana

Trump ye ni mfanyabiashara ye amepata soko kwetu. Na hivo lazima atupongeze na atsifie ili biashara kati yetu iendelee sa kuja kutangaza huk kua umepongezwa na muuzaji wa bidhaa ni ushamba tu.
Ila Mkuu Trump angetukosoa kwa kununua Ndege wakati s kipaumbele sana kama wengine wanavyosema si kauli yake msingeitumia
 
Wengi mwadhani kukumbukwa tu jina lako na Trump ni mchezo. Weye kakutamka mara ngapi?? Acha tujisifu kwa kuwa sasa hata katika meza za chakula huko kwa wakubwa wanaweza kulitamka vizuri sasa jina la nchi yetu zuri
 
Je Ukienda dukani kununua mabati, mwenye duka akakusifu kwa kununua mabati utaenda kutangaza kitaa kuwa nimenunua mabati hadi mwenye duka kanisifu?
Lakini inaonesha muuzaji anakukubali unatoa pesa kamili si longolongo
 
Mzee bwana yani basi tu.
Tumshukuru Mungu hata kwa huyu maana ni somo tunapitia.
Tutanunua ndege nyingine nyingi tu kwa kuwa TRUMP anatupongeza, halafu tukifilisika Trump atasema look the shitholes!
 
Jana Ndege nyingine iliwasili nchini na hafla fupi ikafanyika kama ilivyo kawaida na Serikali ya awamu ya tano kujipongeza kwa hatua hiyo,Tuliwaona pia wanaccm wakifurahia Serikali iliyochini yao ikiongeza Ndege nyingine

Mimi ni mwanachi wa kawaida SIJAFUNGAMANA na upande wowote baada ya mapokezi yale
mtaani na kwenye mitandao hoja kubwa Kama Rais kapambana kuleta Ndege kuna watu sahihi wakuliendesha Shirka na je tumeingiza kias gani mpaka sasa hivi na tunapata faida ya kias gani kama bado uwekezaji uandelea ni lini haswa.

Lakini nzito zaidi ni hii kauli ya Rais ninainukuu kutoka mtandao wa millad ayo instagram "Juzijuzi hapa Waziri wetu alipokutana na Trump, Trump ametupongeza kwa kununua ndege Marekani na wakashikana mikono, hii inaonesha tukinunua ndege kwa wakubwa na sisi tunakuwa wakubwa wakubwa, tunamshukuru sana Trump na tunamuahidi tutaendelea kununua ndege nyingi Marekani na chaguo letu hasa ni Boeing maana ni ndege nzuri" - JPM

Kwa nini imekuwa na ukakasi je hatuwezi kuwa wakubwa,au Kupongezwa na Trump hakumaanishi tuko vizuri au wamekerwa na kauli ya kushikana mikonoView attachment 1246238
Ukinunua cocaine kwa muuza cocaine, halafu muuza cocaine akakupongeza kwa kununua cocaine, umekuwa "mteja" mara mbili.

Mteja kwa kuwa mnunuzi, mteja kwa kuwa mtumia madawa ya kulevya.

Kufurahia muuza cocaine kukusifia ununuzi ni ulimbukeni.

Sasa ulitegemea muuza cocaine asifurahi ukinunua cocaine kwake?

Marekani inafurahia watu kununua hata silaha kwake, sasa Mmarekani akifurahi usifikiri hicho ni kitu kizuri kwako.
 
Back
Top Bottom