game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,402
- 23,326
Hahaha. Acheni tabia za Uchafu nyie jamaaNafikiri hizi ni tabia za watu binafsi hazina Ukenya wala nini, sielewi unahusisha vipi nchi yeote na tabia za watu kadhaa uliokutana nao. Bongo nimeona maeneo watu wanachamba kwa vidole na maji baada ya kuharisha, sasa sijui huo ni utamaduni wa nchi yote au. Maana kuna wakati hayo maji yanaadimika, sasa sijui hiyo shughuli mnaitekeleza vipi wakati maji ni machache.