Kwanini Mkenya haoni tatizo kupenga Kamasi wakati mnakula au kutupa Pedi barabarani?

Joel Johansen

JF-Expert Member
May 12, 2016
242
319
Kwa miaka mingi niijue Kenya kwa kuishi kule, wakenya wana hii ta bia ambayo naiona sio busara, inakera na hata hawjishtukii: yaani Mkenya haoni tatizo kupenga kamasi wakati wa chakula, madada hawaoni tatizo kutupa pedi iliyotumika sehemu ya uwazi k.v. njiani n.k. kwanini?
 
Hata Watanzania wapo wengi tu wenye tabia na mazoea machafu.

Unakuta mtu anajichokonoa pua hadharani halafu anafikisha na vidole alichokitoa humo puani.

Na hii hufanyika hadharani mchana kweupee.

Gross.
 
Naona mnamumunya maneno! Hii ni tabia ya WAMASAI, siyo wa Kenya, Monduli, Ngorongoro wala Simanjiro, ndo tabia yao.
 
Ati wakenya? Nyie mmekosa mada, mnafungua tu threads za kishenz! zakueneza chuki dhidi ya Kenya na wakenya. FOH with that bullshit.
 
Kumbe MK254 ndio swagga zake, hahaha.

Nafikiri hizi ni tabia za watu binafsi hazina Ukenya wala nini, sielewi unahusisha vipi nchi yeote na tabia za watu kadhaa uliokutana nao. Bongo nimeona maeneo watu wanachamba kwa vidole na maji baada ya kuharisha, sasa sijui huo ni utamaduni wa nchi yote au. Maana kuna wakati hayo maji yanaadimika, sasa sijui hiyo shughuli mnaitekeleza vipi wakati maji ni machache.
 
hiyo ya kupenga makamasi na uchafu kwa wadada ni tabia common sana kwa wakenya na hawaoni ni tatizo
 
Pamoja na uchafu wao Wakenya lakini ni Hodari kwa kupiga PAPUCHI kwa ushahidi waulize wadada wa kule Rombo,,

Wanaume wa Rombo kila siku wanasaidiwa na Wanaume wa Kenya kuwazalisha wamama wa Rombo.
 
Pamoja na uchafu wao Wakenya lakini ni Hodari kwa kupiga PAPUCHI kwa ushahidi waulize wadada wa kule Rombo,,

Wanaume wa Rombo kila siku wanasaidiwa na Wanaume wa Kenya kuwazalisha wamama wa Rombo.
makalio yako manene!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom