Kweli mkuuDawa ya huyo anaekwambia anadaiwa 300,000 ya kodi kama hio hela unayo unamwambia nakuja kulipa mwenyewe kwa baba/mama mwenye nyumba kwaio mwambie aje na mikataba hatothubutu kitu hicho hata siku moja
Hee unaombwa hela unapangiwa mpaka kiasi????? .....me najua ukiomba mfano lotion husemi ya sh ngapi unasubiri mwamala tu ...mwanaume mwenyew atajiongeza juu kwa juu
Mkuu mtoto wa nyoka afundishwi kuuma ukiwa na demu mizinga ni kitu ch kawaida tuSababu nihiii.
Mmewaaminisha wenyewe kua Pesa ndo zinatongoza.
Na mtapigwa mizinga na mtaishia kua watu wamadeni tuuu!!
Hahahaha sasa kama niivo muwavumilie tu mkuu maana hamna namna.Mkuu mtoto wa nyoka afundishwi kuuma ukiwa na demu mizinga ni kitu ch kawaida tu
Unanikosha jamani[emoji16]Hee unaombwa hela unapangiwa mpaka kiasi????? .....me najua ukiomba mfano lotion husemi ya sh ngapi unasubiri mwamala tu ...mwanaume mwenyew atajiongeza juu kwa juu
Ni mfano huo......lotion kwani bei ganKhaaa .... hivi mtu unaombaje hela ya lotion jamani , inamaana mtu huna hata hela ya lotion ? Ndo maana dharau zinazidi
Hahahahahaha Nina huu mpango mungu anisamehe ila ninafikiria kufanya mawazo yamefika asilimia 74.555Baby nina mimba yako tuma hela ya matumizi unalea mimba kumbe siyo yako.hawanaga aibu hawa viumbe.