Kwanini mizinga toka kwa wanawake imekuwa ya hatari?

Kwanini mizinga toka kwa wanawake imekuwa ya hatari?

issaaman

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2017
Posts
1,146
Reaction score
1,381
Habari waungwana
Leo nataka niwajulishe wasichana au vibinti vimekuja na mpya
Vinapiga mizinga ya nguvu kadri siku zinavyokwenda
Siku ya kwanza
Baby sina vocha
Nitumie vocha
Siku ya pili
Baby nitumie 10000
Nataka kwenda saloon
Siku ya tatu
Baby nimeishiwa na vipodozi
Nitumie 20000 nikanunue
Siku ya nne
Baby nadaiwa kodi ya nyumba
Nitumie 300000 nilipe chumba
Miezi 6
Siku ya tano
Baby kuna kiwanja mbagala
Kinauzwa 5million naomba uninunulie iwe ukumbusho wako
Je unadhani utapigwa mzinga gani?
Siku ya 6.,,,
Siku ya 7,,,,
Siku us 8,,,
Ebu tiririka kwa tamaa aliyokuwa nayo aweza kutaka nini siku zinazofata?
Wadau karibuni mutujuze
 
Hee unaombwa hela unapangiwa mpaka kiasi????? .....me najua ukiomba mfano lotion husemi ya sh ngapi unasubiri mwamala tu ...mwanaume mwenyew atajiongeza juu kwa juu
 
Hee unaombwa hela unapangiwa mpaka kiasi????? .....me najua ukiomba mfano lotion husemi ya sh ngapi unasubiri mwamala tu ...mwanaume mwenyew atajiongeza juu kwa juu

Mhhhh!! 🙁
 
Hee unaombwa hela unapangiwa mpaka kiasi????? .....me najua ukiomba mfano lotion husemi ya sh ngapi unasubiri mwamala tu ...mwanaume mwenyew atajiongeza juu kwa juu
Siku hizi wanataja tena hata kodi ya chumba wanadai
 
Doooooooh basi nahisi Mimi ni mshamba
Hapana labda utaanzia
Na baby kuna nyumba inauzwa kigamboni
300 millioni unaweza ninulia
Ndogo ndogo hupendi
Sio ushamba ni ujanja mamake
 
Haulingani na mizinga
Sasa elfu 20k ndio unaona nyingi au 300k kodi ya miezi 6? kwani utakuwa unatoa kila siku? ukitoa laki 3 ndani ya miezi 6 utakuwa unakula UTAMU bure maana kama utaenda AMBIANCE (KONA BAR) gharama yake ni kubwa unaweza wakakuchaji elfu 20 kimoko lakini kwa huyo uliyomtolea laki 3 ya kodi ukitaka hadi MKONO(VI5) fresh ni bure.
 
Sasa elfu 20k ndio unaona nyingi au 300k kodi ya miezi 6? kwani utakuwa unatoa kila siku? ukitoa laki 3 ndani ya miezi 6 utakuwa unakula UTAMU bure maana kama utaenda AMBIANCE (KONA BAR) gharama yake ni kubwa unaweza wakakuchaji elfu 20 kimoko lakini kwa huyo uliyomtolea laki 3 ya kodi ukitaka hadi MKONO(VI5) fresh ni bure.
Nakubaliana sana na wewe ila
jua baada ya 300000
Ataanzisha jingine la kiwanja ukimnunulia ataanza tena baby kile kiwanja changu naomba unipigie msingi
Ukipiga msingi ataanza tena
Ukishtuka nyumba imeisha
Ukikaa kidogo atataka gari
Yaani vitotoz haviishi mizinga
 
Bora uchukue tandam
Hayana tabu kuliko visichana vitotoz
 
Nakubaliana sana na wewe ila
jua baada ya 300000
Ataanzisha jingine la kiwanja ukimnunulia ataanza tena baby kile kiwanja changu naomba unipigie msingi
Ukipiga msingi ataanza tena
Ukishtuka nyumba imeisha
Ukikaa kidogo atataka gari
Yaani vitotoz haviishi mizinga
Kama unampenda anakupa RAHA YA DUNIA unafanya mkuu haina shida ila kama unatoa halafu hatimizi majukumu yake hapo lazima ukate kamba.
 
bora anayepiga mzinga kuliko anayekuletea jam ya marafiki wenzake uwalishe bata na wakati umemuita yeye aje peke yake.
Dawa yao ishapatikana mkuu cha muhimu attantion unahamishia kwa hao marafiki zake, tena unachukua na namba za simu zao, na unawaelekeza unapoishi waje wakutembelee ukifanya hivyo hatorudia tena maishani mwake...tena kama vipi unapanga mipango ya kumit nao kesho yake bila yeye kuhusishwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom