JE MIMEA/MAZAO KUKAUKA KWA JUA? KWELI WEWE UMELEWA😀😀😀😀Baba la bada aliseti namna hiyo ili maharege yasiharibiwe na mvua...
Mazao yapi hayo?JE MIMEA/MAZAO KUKAUKA KWA JUA? KWELI WEWE UMELEWA😀😀😀😀
jaribu , usikate tamaa kabla ya kuanzaKama hujasoma geography hata kukuelewesha itakuwa ngumu..
Inategemea na jiografia ya dunia na inatofautiana kutoka sehemu moja hadi nyingine....... Kuna sehemu nvua zinanyesha karibu kipindi chote cha mwakaJua linawaka miezi mingi zaidi kuliko mvua, science inalielezaje hili?
asante sana.Inategemea na jiografia ya dunia na inatofautiana kutoka sehemu moja hadi nyingine....... Kuna sehemu nvua zinanyesha karibu kipindi chote cha mwaka
Kuna mahali wanaona ni giza karibu mwaka mzima nk nk
Wee jamaa jifunze kufikiri" ivi ni kipindi gani krefu kati ya kuwa na pesa na kuwa apeche aloloo!!"Jua linawaka miezi mingi zaidi kuliko mvua, science inalielezaje hili?
unalta dharau sasa.........Wee jamaa jifunze kufikiri" ivi ni kipindi gani krefu kati ya kuwa na pesa na kuwa apeche aloloo!!"