Kwanini mikopo ya Halmashauri inalazimisha vijana kujiunga vikundi

Samcezar

JF-Expert Member
May 18, 2014
13,096
22,626
Habari

Kwanini taratibu za mikopo ya Halimashauri ambayo inatokana na 10% ya mapato ya halimashauri husika inalazimisha vijana watakaokopeshwa au kwenda kuomba ni lazima waende kivikundi na kuja na idea za vikundi?

Kwahiyo kwa mfano mimi nina kampuni yangu ya kuuza magari, au nina biashara ya studio ya photoshoot, au nina duka la nguo, au nina mgahawa wa kisasa siwezi kwenda kuboost mtaji wangu kwa kupata mikopo hii nafuu ili nikuze biashara yangu?

Sababu hasa huwa ni nini kinachofanya hawa jamaa wanalazimisha masharti ya kizee na ya kishamba namna hii?!

Kwani hizo hela wanatoa mifukoni mwao au ni za baba zao?!

Hela si ni zetu raia na zinahitajika kufanyia maendeleo yetu.

Hapa nilikuwa natazama kipindi hapo channel 5, DC anahojiwa kuhusu mikopo ya Halimashauri, anatetea hoja ya kuwepo kwa vikundi.

Katika kipindi wamekaribisha vijana wajasiriamali kuelezea maoni yao wengi wameonesha kukerwa na hii hoja ya vikundi na wamewaambia hao maofisa biashara waache kutumia mawazo ya kizee waje kitaa watazame biashara active ambazo zinahitajika mitaji ili kukua. Nyingi si za vikundi....

Vikundi vikundi kwani tunataka kucheza ngoma?

Kila mtu apambane kwa mbinu zake wanaotaka vikundi waende kwenye section ya vikundi, wanaotaka binafsi waende na business plan zao wakabidhi wapewe mpunga wafanye biashara.

Serikali imejazwa watu wenye mawazo ya kijima na ya kibwege sana . Ushamba ushamba tu. Wanajifanya wanazijua risk na hawajawahi kufanya biashara hata ya nyanya.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari

Kwann taratibu za mikopo ya Halimashauri ambayo inatokana na 10% ya mapato ya halimashauri husika inalazimisha vijana watakaokopeshwa au kwenda kuomba ni lazima waende kivikundi na kuja na idea za vikundi?

Vikundi inasaidia watu kuwa commited hata kuwafatilia ni rahisi na mara nyingi wanaopata hiyo mikopo ni wanawake sbb ndio wako sana kwenye mambo ya vikundi na wote wanajuana tabia na washazoea kukopeshana.

Kuna kikundi tu juzi hapa wamepewa 400M
 
Inamaana mtu mmoja hawezi kupata?
Sasa mfano mlemavu nitawatoa wapi wenzangu Hadi nipate kikundi?
Hawaoni kuwa ni busara kumkopa yule mlemavu mmoja aliyeonyesha uthubutu?Ajitegemeee kuliko kuwa omba omba!?
 
Jibu ni kwamba moja ya lengo la hiyo mikopo ni kwa ajili ya political propaganda za CCM. Ili uelewe vizuri subiri kipindi cha uchaguzi ambapo vikundi vya vijana na wanawake hukusanywa na kukopeshwa hela kwa sharti la kuwa na kadi ya chama na kuaminishwa kwamba pesa walizokopeshwa zinatoka CCM. Unapoona CCM wanaendelea kuitawala hii nchi kwa miaka zaidi ya 50 sababu ndo km hizooooo!
 
Habari

Kwanini taratibu za mikopo ya Halimashauri ambayo inatokana na 10% ya mapato ya halimashauri husika inalazimisha vijana watakaokopeshwa au kwenda kuomba ni lazima waende kivikundi na kuja na idea za vikundi?

Kwahiyo kwa mfano mimi nina kampuni yangu ya kuuza magari, au nina biashara ya studio ya photoshoot, au nina duka la nguo, au nina mgahawa wa kisasa siwezi kwenda kuboost mtaji wangu kwa kupata mikopo hii nafuu ili nikuze biashara yangu?

Sababu hasa huwa ni nini kinachofanya hawa jamaa wanalazimisha masharti ya kizee na ya kishamba namna hii?!

Kwani hizo hela wanatoa mifukoni mwao au ni za baba zao?!

Hela si ni zetu raia na zinahitajika kufanyia maendeleo yetu.

Hapa nilikuwa natazama kipindi hapo channel 5, DC anahojiwa kuhusu mikopo ya Halimashauri, anatetea hoja ya kuwepo kwa vikundi.

Katika kipindi wamekaribisha vijana wajasiriamali kuelezea maoni yao wengi wameonesha kukerwa na hii hoja ya vikundi na wamewaambia hao maofisa biashara waache kutumia mawazo ya kizee waje kitaa watazame biashara active ambazo zinahitajika mitaji ili kukua. Nyingi si za vikundi....

Vikundi vikundi kwani tunataka kucheza ngoma?

Kila mtu apambane kwa mbinu zake wanaotaka vikundi waende kwenye section ya vikundi, wanaotaka binafsi waende na business plan zao wakabidhi wapewe mpunga wafanye biashara.

Serikali imejazwa watu wenye mawazo ya kijima na ya kibwege sana . Ushamba ushamba tu. Wanajifanya wanazijua risk na hawajawahi kufanya biashara hata ya nyanya.


Sent using Jamii Forums mobile app
Vikundi vinarahisisha unyonyaji.Wataunganisha nguvu zao wakupe faida kubwa.
 
Kabla ya uchaguzi huku kijijin kwetu walitoa haya matangazo yao watu tukajioganaizi na tukapatikana 10,wakatufungulisha akaunti na madokumenti yet walichukua bt mpaka uchaguzi unaisha hakuna pesa wala nn
 
Back
Top Bottom