mnengene
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 4,133
- 6,343
amekusaidia nini, wakati amekurupuka kupost upupu, kama umemwelewa huyu mtu basi na wewe akili zako hazipo sawa halafu unasema umefanya field NHIF.Umenisaidia sana kaka. Be blessed.
Katika kukaa kwako NHIF ulishasikia wamekataa kulipa matibabu ya mtu kwa sababu aliumia kwa uzembe?
ninachojua WCF ndio wanaweza wasikulipe fidia kama umeumia kwa udhembe kazini