Automata JF-Expert Member Mar 3, 2015 3,347 4,614 Aug 21, 2020 #21 Hakika Gwajima unawaogopesha wengi...CCM huyu mtu anamtoa Mdee mpeni ushirikiano wa kutosha
mitale na midimu JF-Expert Member Aug 26, 2015 10,420 17,701 Aug 21, 2020 Thread starter #22 Automata said: Hakika Gwajima unawaogopesha wengi...CCM huyu mtu anamtoa Mdee mpeni ushirikiano wa kutosha Click to expand... asante kwa maoni
Automata said: Hakika Gwajima unawaogopesha wengi...CCM huyu mtu anamtoa Mdee mpeni ushirikiano wa kutosha Click to expand... asante kwa maoni
fyddell JF-Expert Member Dec 19, 2011 11,109 19,993 Aug 21, 2020 #24 Hapo kwenye ukigeugeu wake tu. Gwajiboy si mtumishi wa Mungu hakika, anajichanganya sana ana mambo ya dunia, pia ana tamaa
Hapo kwenye ukigeugeu wake tu. Gwajiboy si mtumishi wa Mungu hakika, anajichanganya sana ana mambo ya dunia, pia ana tamaa
N ndayilagije JF-Expert Member Nov 7, 2016 7,492 8,295 Aug 22, 2020 #25 mitale na midimu said: Mungu anasema kupitia NENO. Na mimi nimejenga hoja kupitia NENO. Ukikataa NENO hata aje Mungu mwenyewe na Jeshi lake la Malaika Utakataa na kumbishia. Click to expand... Aah!kumbe umejenga hooooojaaaa! Basi haya. Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
mitale na midimu said: Mungu anasema kupitia NENO. Na mimi nimejenga hoja kupitia NENO. Ukikataa NENO hata aje Mungu mwenyewe na Jeshi lake la Malaika Utakataa na kumbishia. Click to expand... Aah!kumbe umejenga hooooojaaaa! Basi haya. Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app