goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 1,021
- 1,268
V
Vp kuhusu saluni, hasa hizi za huku mtaani kwetu kwa mahohehahe ambako ni bandika bandua mashine hazisafishwi wala kuwekewa dawa! Ina maana hizo mashine nazo hazina receptor au....?Haiwezekan kwa sababu mbu hana receptor kwa ajili ya replication ya Virus,hivyo Basi wakiingia ndani ya mbu humegengwa kama chakula kingine ,


