jeipm
JF-Expert Member
- Sep 28, 2018
- 500
- 825
Wataalamu wa afya na watafiti wa mambo haya tuambieni
Mbu jike aina ya Anofelesi ana uwezo kwa kuambukiza mtu ugonjwa wa malaria kwa njia ya kuuma mtu kupitia damu
Hoja iliyopo, iweje mbu huyo aweze kuambukiza vijidudu vya malaria halafu ashindwe kuambukiza mtu vvu
wenye uelewa fungukeni kuna ukweli gani hapa?
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Mbu jike aina ya Anofelesi ana uwezo kwa kuambukiza mtu ugonjwa wa malaria kwa njia ya kuuma mtu kupitia damu
Hoja iliyopo, iweje mbu huyo aweze kuambukiza vijidudu vya malaria halafu ashindwe kuambukiza mtu vvu
wenye uelewa fungukeni kuna ukweli gani hapa?
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app