...Time will tell!:Cry:Uteuzi wake wa leo ndiyo ushahidi wa kambi yake rasmi. Jiulize kama nccr wanahusika na jambo hilo. Amekaribia uwaziri! Bado mengi, subirini mtaona anaweza kuwa hatari kuliko EL
Je mlisha wahi kumsikia anaogelea suala la EPA? yeye na Mdogo wake mbuge wa africa Mashariki yule dada wa NCCR mageuzi wanamteteta sana Mkapa Pamoja na Mramba. wao walinufaika kwa njia fulani je mbatai amtuzana hazina marehemu wa CCM ilkuwaje nao???
Huyu jamaa haelewki, Kitendo cha Kutaka Kwenda Mahakamani kumpinga Halima pale Kawe kimenisikitisha sana, Mgombea wa CCM tu Hana hata hali halafu yeye kubwa zima linalalamika kwa kadada kama HM, Shame on you Mbatiwa.
Sidhani kama baba amemchagua kwa hiari yake kutoka moyoni ..hili kama si shinikizo la baba mkubwa cameroon sidhani natia shaka sana maana si muda baba cameroon alisema kama hamtaki kishare second name yangu basi hakuna misaada.. Usikute huyu ndo katolewa kama sample ya kuwakilisha Cameoon..but any way who cares! Akapakuliwe chakula tu akishiba atawaachia na wengine..
N a wewe kwanini umeleta thread hii leo???????????au ni wivu tu?Kwa kumbukumbu zangu mimi tangia Mbatia achukue madaraka NCCR - Mageuzi sijawahi kuona anakua n urafiki wa chama cha upinzani chenye nguvu, Nikimaanisha hajawahi kuwa karibu na chama ambacho kinaichachafya CCM. Hii ipo evidenced na matukio kibao ambayo kayafanya against Wapinzani tangia alipochukua madaraka NCCR.
1. Alishawahi kuwawekea pingamizi wagombea wa CUF kule Pemba
2. Yeye ndiyo chanzo cha muunganiko wa upinzani ulioanza 2007 kuvunjika baada ya kuwa against na CHADEMA kule TARIME.
3. Sasa yupo karibu na CUF baada ya kuona CUF wapo karibu na CCM
4. Amewakataza wabunge wake wasiwe wabishi bungeni means wawe friendly kwa government.
5. Pia now anatumia advantage za chokochoko za CHADEMA thats why wengi waliotoka CHADEMA wameenda NCCR.
Kwa sababu hizo anaonekana yupo kwa ajili kubomoa upinzani siyo kujenga thats why wengine wanamuita kibaraka wa CCM.
Ni mtazamo tu!
Mkuu wewe kila post yako lazima useme Mbatia na dada yake wote wabunge, nadhani Mbatia sio wa kwanza kuwa mbunge yeye pamoja na dada yake...hata Tundu Lissu yeye na dada yake wote wabunge wa Chadema, Ndesamburo yeye na mtoto wake wote ni wabunge wa Chadema.
Tatizo kubwa lipo kwa Kikwete.
Mbatia ameteuliwa kwa amri ya Riz1 Jk angefanyaje?
Kwa Kikwete iko siku tutashuhudia chizi akiteuliwa waziri.
Mkuu wewe kila post yako lazima useme Mbatia na dada yake wote wabunge, nadhani Mbatia sio wa kwanza kuwa mbunge yeye pamoja na dada yake...hata Tundu Lissu yeye na dada yake wote wabunge wa Chadema, Ndesamburo yeye na mtoto wake wote ni wabunge wa Chadema.
bwabwa!!!kwa kumbukumbu zangu mimi tangia mbatia achukue madaraka nccr - mageuzi sijawahi kuona anakua n urafiki wa chama cha upinzani chenye nguvu, nikimaanisha hajawahi kuwa karibu na chama ambacho kinaichachafya ccm. Hii ipo evidenced na matukio kibao ambayo kayafanya against wapinzani tangia alipochukua madaraka nccr.
1. Alishawahi kuwawekea pingamizi wagombea wa cuf kule pemba
2. Yeye ndiyo chanzo cha muunganiko wa upinzani ulioanza 2007 kuvunjika baada ya kuwa against na chadema kule tarime.
3. Sasa yupo karibu na cuf baada ya kuona cuf wapo karibu na ccm
4. Amewakataza wabunge wake wasiwe wabishi bungeni means wawe friendly kwa government.
5. Pia now anatumia advantage za chokochoko za chadema thats why wengi waliotoka chadema wameenda nccr.
Kwa sababu hizo anaonekana yupo kwa ajili kubomoa upinzani siyo kujenga thats why wengine wanamuita kibaraka wa ccm.
Ni mtazamo tu!