Kwa nini mawakala wa kutuma hela hawatoi risiti kwa mtumaji una ambiwa tu tayari imeenda.
Au huyu mtumaji yeye siyo mteja na hana maana kabisa ila mteja ni yule anayepokea hela kwa sababu huyo yeye anapata stakabathi ambayo nayo ina mapungufu kwani inaoyesha tarifa za wakala tu wakati wakala hapa ni mtu watatu lakini nani hasa kaituma hiyo hela? yule mlengwa mwenyewe hatujali wakati naye ni mhimu sana sana sana.
Wakati huo huo kuna mamlaka kibao ambazo zilitakiwa zione hili tatizo kama vile wizara ya fetha, wizara ya sayansi na teknologia, tcra, tra, bila kusahau wizara ya mambo ya ndani na ulinzi lakinini wapi, mpaka Jackal akiwa ana moon walk na snort ndiyo aseme kuna fish packet kwa sababu nyie IDS na IPS we don't care ila finger print tutachukua kwa lengo gani sasa? what a shame naomba ni funguke, break records imo.
Moja kati ya mambo ambayo ni mhimu sana katika biyashara yoyote ile ni kutoa na kupokea stakabathi "risiti" pale mnapokua mmefanya biyashara flani na haswa hiyo biyashara ikiwa ina husisha kodi kwa namna moja au nyingine sasa ni biyashara gani ambayo hai husishi kodi ati Pablo Panuchi lakini jambo ambalo linashangaza, stabisha, sikitisha linabadili hata mwendo wamapigo ya moyo nipale unapokwenda kwa wakala kutuma hela kwa Y alafu hupati hata risiti inayo thibitishwa kweli hiyo hela imekwenda kwa Y hili nikosa kubwa sana kisheria kiasikwamba lina ibua maswali mengi sana. Sasa tuchukulie kume tokea sinto fahamu flani tunaanzia wapi kufuatili? Nathani umepata twasira alafu hapo hapo unasikia kunataasisi zinazo simami haya maswala mhhhhh ni changamoto
Kitu ambacho katika haliya kawaida kabisa ya kibanadamu hususani pale kodi inapokua inahusika, risiti inakuwa ni lazima na siyo ombi na ni haki ya mteja unless.
Nikienda kwa wakala kuweka hela kwa Y mategemeo na matarajio yangu nikutoa tarifa za huko na potaka kutuma hela kwenye kisa hiki kwa Y na kiasi ninacho tuma alafu nitoe taarifa zangu mf kwa lengo lakupokea risiti au stakabathi inayo onyesha mimi N nimetuma kiasi kathaa kwa Y na ikijumlisha taarifa za wakala.
Taarifa hizi sasa zipo kwa watu wa nne kama siyo watano walio husika katika mchakato mzima mbona rahisi sana alafu istoshe ni ustarabu na ungwana na tuna pata sehemu zuri kabisa ya ku debug pale kunapo kua na sitofahamu nyani ku consol log kumekua rahisi hata kwa TRA na wengineo na sina uhakika kama hiki kitanzi "Loop hole" kimeachwa kwa maksudu au laa na kama kiliachwa kwa maksudu nia lengo na mathumuni ya likuwa ni yapi?
Lwa wale wenye ujuzi na hili na ombeni ufafanuzi wenu na nina tanguliza shukrani zangu za thati kwa wote watakao changia kutoa elimu zao juu ya hili Ahsante kwa mchango wako.
Au huyu mtumaji yeye siyo mteja na hana maana kabisa ila mteja ni yule anayepokea hela kwa sababu huyo yeye anapata stakabathi ambayo nayo ina mapungufu kwani inaoyesha tarifa za wakala tu wakati wakala hapa ni mtu watatu lakini nani hasa kaituma hiyo hela? yule mlengwa mwenyewe hatujali wakati naye ni mhimu sana sana sana.
Wakati huo huo kuna mamlaka kibao ambazo zilitakiwa zione hili tatizo kama vile wizara ya fetha, wizara ya sayansi na teknologia, tcra, tra, bila kusahau wizara ya mambo ya ndani na ulinzi lakinini wapi, mpaka Jackal akiwa ana moon walk na snort ndiyo aseme kuna fish packet kwa sababu nyie IDS na IPS we don't care ila finger print tutachukua kwa lengo gani sasa? what a shame naomba ni funguke, break records imo.
Moja kati ya mambo ambayo ni mhimu sana katika biyashara yoyote ile ni kutoa na kupokea stakabathi "risiti" pale mnapokua mmefanya biyashara flani na haswa hiyo biyashara ikiwa ina husisha kodi kwa namna moja au nyingine sasa ni biyashara gani ambayo hai husishi kodi ati Pablo Panuchi lakini jambo ambalo linashangaza, stabisha, sikitisha linabadili hata mwendo wamapigo ya moyo nipale unapokwenda kwa wakala kutuma hela kwa Y alafu hupati hata risiti inayo thibitishwa kweli hiyo hela imekwenda kwa Y hili nikosa kubwa sana kisheria kiasikwamba lina ibua maswali mengi sana. Sasa tuchukulie kume tokea sinto fahamu flani tunaanzia wapi kufuatili? Nathani umepata twasira alafu hapo hapo unasikia kunataasisi zinazo simami haya maswala mhhhhh ni changamoto
Kitu ambacho katika haliya kawaida kabisa ya kibanadamu hususani pale kodi inapokua inahusika, risiti inakuwa ni lazima na siyo ombi na ni haki ya mteja unless.
Nikienda kwa wakala kuweka hela kwa Y mategemeo na matarajio yangu nikutoa tarifa za huko na potaka kutuma hela kwenye kisa hiki kwa Y na kiasi ninacho tuma alafu nitoe taarifa zangu mf kwa lengo lakupokea risiti au stakabathi inayo onyesha mimi N nimetuma kiasi kathaa kwa Y na ikijumlisha taarifa za wakala.
Taarifa hizi sasa zipo kwa watu wa nne kama siyo watano walio husika katika mchakato mzima mbona rahisi sana alafu istoshe ni ustarabu na ungwana na tuna pata sehemu zuri kabisa ya ku debug pale kunapo kua na sitofahamu nyani ku consol log kumekua rahisi hata kwa TRA na wengineo na sina uhakika kama hiki kitanzi "Loop hole" kimeachwa kwa maksudu au laa na kama kiliachwa kwa maksudu nia lengo na mathumuni ya likuwa ni yapi?
Lwa wale wenye ujuzi na hili na ombeni ufafanuzi wenu na nina tanguliza shukrani zangu za thati kwa wote watakao changia kutoa elimu zao juu ya hili Ahsante kwa mchango wako.