Hajulikani
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 273
- 248
Wadau mnaojua sababu tusaidiane
Kwa hiyo wasipoteuliwa mpaka mwez wa pili ambayo ndo deadline ya kulipa ada hawatatoa matokeo? Ina maana hawakujua kama mda wa wajumbe uliisha? Sidhani kama hii ni sababu, wanasababu zao wanaficha ficha tu mambo. Either kutakua kuna shida kwenye usahihishaji au sababu ingine tofauti.Inasemekana wajumbe wa Bodi wamemaliza muda wao hvo hakuna wa kuidhinisha mpaka wateuliwe wajumbe wapya ndo wataidhinisha
Mwenyekiti wa Board huteuliwa na raisi na wajumbe wengine huteuliwa na waziri; sasa sijui lawama zako umemwelekezea naniKwa hiyo wasipoteuliwa mpaka mwez wa pili ambayo ndo deadline ya kulipa ada hawatatoa matokeo? Ina maana hawakujua kama mda wa wajumbe uliisha? Sidhani kama hii ni sababu, wanasababu zao wanaficha ficha tu mambo. Either kutakua kuna shida kwenye usahihishaji au sababu ingine tofauti.
Mie nimetoa taarifa ya niliyo yasikia sasa kama wewe una nyingine unazosema wanaficha ficha sema sio kulalamika una mlalamikia nani sasa?Kwa hiyo wasipoteuliwa mpaka mwez wa pili ambayo ndo deadline ya kulipa ada hawatatoa matokeo? Ina maana hawakujua kama mda wa wajumbe uliisha? Sidhani kama hii ni sababu, wanasababu zao wanaficha ficha tu mambo. Either kutakua kuna shida kwenye usahihishaji au sababu ingine tofauti.
Haya bana mtanzania kizabizabenaMwenyekiti wa Board huteuliwa na raisi na wajumbe wengine huteuliwa na waziri; sasa sijui lawama zako umemwelekezea nani
Hata mm nmesikia hayohayo mkuuInasemekana wajumbe wa Bodi wamemaliza muda wao hvo hakuna wa kuidhinisha mpaka wateuliwe wajumbe wapya ndo wataidhinisha
Sheria zimewekwa na binadamu kwa hiyo paper ya may inaweza ikafanyika july as long as binadamu haohao waliotunga hizo sheria wana uwezo pia wa kupanga hivyo!!KWAHIYO WAJUMBE WA BODI WAKITEULIWA MWEZI WA 6 FRESHI TU TUENDELEE KUSUBIRI?
Utatoaje taarifa ambayo sio rasmi? Bodi walikuambia kua wajumbe wao muda wao uliisha? Punguza kiherehere cha kupublish taarifa za vijiweni..Mie nimetoa taarifa ya niliyo yasikia sasa kama wewe una nyingine unazosema wanaficha ficha sema sio kulalamika una mlalamikia nani sasa?
Kwa hiyo Raisi asipoteua mpaka mwezi wa tano fresh tu? Hujielewi pia huna dataMwenyekiti wa Board huteuliwa na raisi na wajumbe wengine huteuliwa na waziri; sasa sijui lawama zako umemwelekezea nani
KWASABU GANI?halaf hayo matokeo sio hata ya kukimbiliwa namna hiyo ingawa ni haki yenu....