matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,586
- 15,368
- Thread starter
- #41
wqmeshatuchanganya kila mtu anatoa maana yake.Nimecheka sana.
Samahani mkuu hivi kuna tofauti gani Kati ya mtume na Nabii.
siku zote tunajua mfalme ni mwanaume. Leo kuna mwanamama mtu wa gospel na yeye anajiita Mfalme sijui zamawadi.
ishakuwa fujo, ngoja tuwaite hivyohivyo wanavyotaka