PostGE2025 Kwanini mashehe wengi wamekubali kugeuzwa machawa na waimba pambio?

PostGE2025 Kwanini mashehe wengi wamekubali kugeuzwa machawa na waimba pambio?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,959
Reaction score
13,425
1763575257164.png

Kuna kitu kinanishangaza. Natamani nijue sababu. Tangu aingie bi mkubwa, mashehe wengi wamejitokeza kuwa machawa na waimba kwaya kama wasanii walio wengi.

Je, tatizo ni njaa au uhaba wa maarifa?

Je, ni kwa vile rais ni mwenzao?
Je, huu siyo udini wa wazi kabisa?

Ina maana mashehe huwa hawapewi mishahara na maruprupu vya kutosha kiasi cha kujiamini na kujitegemea?

Huwa wanajituma au kutumwa?

Hivi, wanajua madhara ya wanachofanya?

Wanatoa somo gani kwa vijana?

Mbona shida za Tanzania hazijui dini au ni kwa vile ni wabinafsi na wasaka ngawira kama viongozi wa kikristo wa kujipachika?

Mie wallahi sielewe. Naomba wanangu mnipe elimu bure.
Shukrani sana.
 
Miaka yote tulikuwa tunaambia Uislamni dini ya haki, juzi tena hawaitaki haki wanataka amani.
Muhimu tufatishe maneno ya mwz Mungu yaliyo kwenye Quran tukufu hao wengine wachumia tumbo tuh.
Sijui kama wanaijua haki. Maybe haki ya kujikomba
 
View attachment 3504470
Kuna kitu kinanishangaza. Natamani nijue sababu. Tangu aingie bi mkubwa, mashehe wengi wamejitokeza kuwa machawa na waimba kwaya kama wasanii walio wengi.

Je, tatizo ni njaa au uhaba wa maarifa?

Je, ni kwa vile rais ni mwenzao?
Je, huu siyo udini wa wazi kabisa?

Ina maana mashehe huwa hawapewi mishahara na maruprupu vya kutosha kiasi cha kujiamini na kujitegemea?

Huwa wanajituma au kutumwa?

Hivi, wanajua madhara ya wanachofanya?

Wanatoa somo gani kwa vijana?

Mbona shida za Tanzania hazijui dini au ni kwa vile ni wabinafsi na wasaka ngawira kama viongozi wa kikristo wa kujipachika?

Mie wallahi sielewe. Naomba wanangu mnipe elimu bure.
Shukrani sana.
Ni masheikh wangapi wana magari yao ga kutembelea. Umasikini ni kitua kibaya sana.
 
Miaka yote tulikuwa tunaambia Uislamni dini ya haki, juzi tena hawaitaki haki wanataka amani.
Muhimu tufatishe maneno ya mwz Mungu yaliyo kwenye Quran tukufu hao wengine wachumia tumbo tuh.
Hata mimi nimeshangaa eti! Kutoka kuwa dini ya haki, mpaka kuwa dini ya amani!!

Siku zote niliamini ugaidi uliofanywa na waumini wao ulisababishwa na kunyimwa haki zao za msingi na watu wengine! Sasa leo eti wanaikataa haki! Hawa jamaa siyo bure. Watakuwa wametumiwa majini kwenye vichwa vyao.
 
Hata mimi nimeshangaa eti! Kutoka kuwa dini ya haki, mpaka kuwa dini ya amani!!

Siku zote niliamini ugaidi uliofanywa na waumini wao ulisababishwa na kunyimwa haki zao za msingi na watu wengine! Sasa leo eti wanaikataa haki! Hawa jamaa siyo bure. Watakuwa wametumiwa majini kwenye vichwa vyao.
Hapo kuna combination ya vitu vitatu.
Njaa
Ujinga (elimu❌)
Kujipendekeza
 
View attachment 3504470
Kuna kitu kinanishangaza. Natamani nijue sababu. Tangu aingie bi mkubwa, mashehe wengi wamejitokeza kuwa machawa na waimba kwaya kama wasanii walio wengi.
Je, tatizo ni njaa au uhaba wa maarifa?
Je, ni kwa vile rais ni mwenzao?
Je, huu siyo udini wa wazi kabisa?
Ina maana mashehe huwa hawapewi mishahara na maruprupu vya kutosha kiasi cha kujiamini na kujitegemea?
Huwa wanajituma au kutumwa?
Hivi, wanajua madhara ya wanachofanya?
Wanatoa somo gani kwa vijana?
Mbona shida za Tanzania hazijui dini au ni kwa vile ni wabinafsi na wasaka ngawira kama viongozi wa kikristo wa kujipachika?
Mie wallahi sielewe. Naomba wanangu mnipe elimu bure.
Shukrani sana.
Wako kama Mwamposa tofauti ni dini tu. Tumesoma na kukua nao.

Wengi wapo vizuri. Nchi inatenganishwa na Samia na genge lake.
 
View attachment 3504470
Kuna kitu kinanishangaza. Natamani nijue sababu. Tangu aingie bi mkubwa, mashehe wengi wamejitokeza kuwa machawa na waimba kwaya kama wasanii walio wengi.

Je, tatizo ni njaa au uhaba wa maarifa?

Je, ni kwa vile rais ni mwenzao?
Je, huu siyo udini wa wazi kabisa?

Ina maana mashehe huwa hawapewi mishahara na maruprupu vya kutosha kiasi cha kujiamini na kujitegemea?

Huwa wanajituma au kutumwa?

Hivi, wanajua madhara ya wanachofanya?

Wanatoa somo gani kwa vijana?

Mbona shida za Tanzania hazijui dini au ni kwa vile ni wabinafsi na wasaka ngawira kama viongozi wa kikristo wa kujipachika?

Mie wallahi sielewe. Naomba wanangu mnipe elimu bure.
Shukrani sana.
1763454436714.png
 
View attachment 3504470
Kuna kitu kinanishangaza. Natamani nijue sababu. Tangu aingie bi mkubwa, mashehe wengi wamejitokeza kuwa machawa na waimba kwaya kama wasanii walio wengi.

Je, tatizo ni njaa au uhaba wa maarifa?

Je, ni kwa vile rais ni mwenzao?
Je, huu siyo udini wa wazi kabisa?

Ina maana mashehe huwa hawapewi mishahara na maruprupu vya kutosha kiasi cha kujiamini na kujitegemea?

Huwa wanajituma au kutumwa?

Hivi, wanajua madhara ya wanachofanya?

Wanatoa somo gani kwa vijana?

Mbona shida za Tanzania hazijui dini au ni kwa vile ni wabinafsi na wasaka ngawira kama viongozi wa kikristo wa kujipachika?

Mie wallahi sielewe. Naomba wanangu mnipe elimu bure.
Shukrani sana.
Hatupitwi na tu offer offer twa tutende na tuhalua!
 
Na hapa ndipo CCM wanapokosea, badala ya kutafuta watu wenye weledi ndani ya Chama wajibu hoja na maswali ya msingi wao wanaleta Masheikh kuisemea Serikali, tamko la TEC halijahusu BAKWATA limehusu Serikali na CCM yake, binafsi nilitegemea CCM/SERIKALI ndio ijibu na sio mwingine, haya matamko ya Masheikh yanafanya tuone kwamba Serikali haina majibu, hivyo inajificha kwenye uvungu wa dini.
 
View attachment 3504470
Kuna kitu kinanishangaza. Natamani nijue sababu. Tangu aingie bi mkubwa, mashehe wengi wamejitokeza kuwa machawa na waimba kwaya kama wasanii walio wengi.

Je, tatizo ni njaa au uhaba wa maarifa?

Je, ni kwa vile rais ni mwenzao?
Je, huu siyo udini wa wazi kabisa?

Ina maana mashehe huwa hawapewi mishahara na maruprupu vya kutosha kiasi cha kujiamini na kujitegemea?

Huwa wanajituma au kutumwa?

Hivi, wanajua madhara ya wanachofanya?

Wanatoa somo gani kwa vijana?

Mbona shida za Tanzania hazijui dini au ni kwa vile ni wabinafsi na wasaka ngawira kama viongozi wa kikristo wa kujipachika?

Mie wallahi sielewe. Naomba wanangu mnipe elimu bure.
Shukrani sana.
 
View attachment 3504470
Kuna kitu kinanishangaza. Natamani nijue sababu. Tangu aingie bi mkubwa, mashehe wengi wamejitokeza kuwa machawa na waimba kwaya kama wasanii walio wengi.

Je, tatizo ni njaa au uhaba wa maarifa?

Je, ni kwa vile rais ni mwenzao?
Je, huu siyo udini wa wazi kabisa?

Ina maana mashehe huwa hawapewi mishahara na maruprupu vya kutosha kiasi cha kujiamini na kujitegemea?

Huwa wanajituma au kutumwa?

Hivi, wanajua madhara ya wanachofanya?

Wanatoa somo gani kwa vijana?

Mbona shida za Tanzania hazijui dini au ni kwa vile ni wabinafsi na wasaka ngawira kama viongozi wa kikristo wa kujipachika?

Mie wallahi sielewe. Naomba wanangu mnipe elimu bure.
Shukrani sana.
BIG SHOW aje atupe majibu hapa
 
Back
Top Bottom