Kwanini mashahidi wote katika kesi ya Lissu ni wakiristo?

Kwanini mashahidi wote katika kesi ya Lissu ni wakiristo?

Kwanini mashahidi wote ktk kesi ya Lissu ni wakiristo? Kila anaelizwa dini ya shahidi, hujitambulisha mkiristo
nadhani ni kwasababu Chadema yenyewe ni chama cha kikristo na ndio maana viongozi wake wote wakuu ni wakristo pekee.

hata Fr.Charles Kitima, katibu mkuu wa TEC ni miongoni mwa wanachama na viongozi wakuu wa chadema wanaosaidia kuongoza chama hicho kisayansi na kuhakikisha mabeberu na mabwenyenye yanapitisha ufadhili wao kupitia kanisa ikiwa kupenyeza pesa mojakwamoja chadema itakua changamoto.
Chadema inafadhiliwa kwa 100% na nchi moja ya kikristo kutoka huko magharibi :1Head:
 
nadhani ni kwasababu Chadema yenyewe ni chama cha kikristo na ndio maana viongozi wake wote wakuu ni wakristo pekee.

hata Fr.Charles Kitima, katibu mkuu wa TEC ni miongoni mwa wanachama na viongozi wakuu wa chadema wanaosaidia kuongoza chama hicho kisayansi na kuhakikisha mabeberu na mabwenyenye yanapitisha ufadhili wao kupitia kanisa ikiwa kupenyeza pesa mojakwamoja chadema itakua changamoto.
Chadema inafadhiliwa kwa 100% na nchi moja ya kikristo kutoka huko magharibi :1Head:
Wengine sio wanachadema. Hata askari wakiulizwa dini husema dini yao ni hio
 
Mimi nimezaliwa na kukulia Dar maisha yangu yote, na miaka ile tulisoma pamoja na kuishi pamoja wenyeji wa Dar, iwe muislamu au mkristo.
Ila sasa miaka ya karibuni tulivyoaanza kupokea walugaluga mjini, ndio nikaanza kusikia wanatambulisha watu kwa yule muislamu mara hao waislamu, hapo mambo yalivyoanza kubadilika, na sisi tukaona kama ndio wanataka maisha yaende hivyo tutawapokea kama walivyokuja.
 
Wengine sio wanachadema. Hata askari wakiulizwa dini husema dini yao ni hio
sote ni mashahidi Chadema ni chama cha kidini gentleman, hakuna wa kubisha hilo.

uhaini aliokua anapanga kibaraka lisu dhidi ya serikali sikuvu ya CCM, alikua anapanga akiwa na viongozi wenzake wakikristo katika chadema ikiwemo mapadre, maaskofu uchwara na wachungaji useless ambao sote tuliwaona wakizunguka sehemu mbalimbali nchini kufanya mikutano ya fujo na kuomba pesa za matumizi.

kama ambavyo chadema huuana wao kwa wao,
ndio maana mashaidi wa kesi ya kibaraka lisu ni wanachadema wakristo waliodhulumiwa malipo kwaajili ya mpango ule haramu wa uhaini ambao utekelezaji wake ulifanyika kuanzia oct.29.2025 :1Head:
 
Mimi nimezaliwa na kukulia Dar maisha yangu yote, na miaka ile tulisoma pamoja na kuishi pamoja wenyeji wa Dar, iwe muislamu au mkristo.
Ila sasa miaka ya karibuni tulivyoaanza kupokea walugaluga mjini, ndio nikaanza kusikia wanatambulisha watu kwa yule muislamu mara hao waislamu, hapo mambo yalivyoanza kubadilika, na sisi tukaona kama ndio wanataka maisha yaende hivyo tutawapokea kama walivyokuja.
Hizi dini zilikuwepo kabla babu wa babu zako kuja duniani
 
Back
Top Bottom