lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,149
- 33,308
Ha ha haa .huko Iraq helkopta moja ya jeshi la marekani iliangushwa na mkulima mmoja tu kwa bunduki ya kawaida.ha haa.Kwa iyo unataka makosa makosa yafanane!! nKama ndo hivyo Iraq aliangusha dege ipi ya US?! Haya uturuki alidungua ndege ya urusi, Israel alisababisha ndege ya urusi ikadunguliwa, hii inaonyesha Russia anaogopa US ndo maana hakuzivamia turkey na Israel. We Mrusi usije ukanambia waliomba msamaha teh! Warusi buana!
Sent using Jamii Forums mobile app