Kwanini Marekani haikuingia vitani dhidi ya Bashar Al Asad

Kwanini Marekani haikuingia vitani dhidi ya Bashar Al Asad

aaah wap sema hyo TU-23 na BUK-23 hazipo ila kuna TU-90 pia kuna TU-160 ambayo inauwezo wa kubeba makombora ya nuklia pia inaweza kufika popote pale duniani bila shida yoyote

hi TU-160 ndio iliyotoka urusi mpaka venazuela bila shida wala kuongezwa wese

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia kuna TU-22M nayo ni hatari sana
images%20(3).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hao unaowasema kama wanaiona US ni ya kawaida, je ni taifa gani wanaliona si la kawaida? Tafadhali jibu tu kwa kutaja hilo taifa, epukana na blah blah
Kwa mataifa ya dunia ya 7 ndiyo tunaona usa ni kama maji ila kwa mataifa ya wenye akili usa ni wa kawaida sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom