Kwanini Marekani haikuingia vitani dhidi ya Bashar Al Asad

Kwanini Marekani haikuingia vitani dhidi ya Bashar Al Asad

US haihitaji kujisifu, ni Kama maji, usipoyanywa utayaoga

Sent using Jamii Forums mobile app
US haihitaji kujisifu,lol ! wewe utakua sio raia wa dunia hii,hakuna nchi inayojisifi hapa duniani kama US,kwa kuonesha uwezo wao wa kijeshi kwa vinchi vidogo kama nk,somalia,iraq.libya,syria,kosovo.n.k,kwa kutaka kufaanya mazoezi ya kijeshi na vinchi mabalimbali,kwa matangazo yao mbalimbali,kupitia cnn,fox news ,abc,et.,washington post ,news week etc,
kubwa kuliko yote hollywood movies ni balaa,kila movie ya vita au ujasusi,ni wao tu hushinda ingawa historia zinaonesha vita nyingi walishindwa,
hotuba za viongozi wao nyingi ni kusema kuwa "US ni taifa lenye nguvu kubwa kijeshi,kuliko taifa lolote hapa kwenye sayari ya dunia" ,'we are the super powers",make Amerika great again',n.k
kujiona linaweza kulipiga taifa lolote hapa duniani wakati kuna mataifa wamesanda,
kuonesha ama kupeleka masilaha yao kama ma aircraftcarrier kwa vi nchi wanavyotofautiana navyo,
kushambulia vinchi vidogo hata bila ya idhini ya umoja wa mataifa,
kupeleka silaha zao ulaya ya mashariki kila ukitokea mgogoro baina ya Urusi na majirani zao,ambazo silaha hizo haizitumii.
Kulazimisha mambo ya kijeshi kama kujenga lada na mitambo ya kujilinda huko ulaya,hii yote ni majisifu.
sasa upande wa pili wakaona kukaa kimya itaonekana ni wanyonge ingawa wanajijua kuwa sio wanyonge ,ndipo walipoanza kujibu,propaganda hujibiwa kwa propaganda,kuonesha silaha ni sehemu ya propaganda,na siku nzuri ni russia victory day,nyingine ndo kuutumia mgogoro wa syria kuonesha misuli.
sasa siku hizi sentensi zimebadilika ,siku hizi imekua ni Urusi inajisifiia,kumbe sio,propaganda imejibu vilivyo.
kwa kifupi US ni full kujisifu,ila ujanja wa kujisifu sasa umepungua,

Inasemekana Putin wa Urusi kamweka Trump madaraakani,sio mimi nisemae haya,bali hii ni kwa mujibu wa CIA,FBI,NSA,and many more others.tehe tehe tehe.upepo unageuka taratibu.
 
Zimbabwe wapigwe kwa lipi ndugu.
Katika mgogoro wa Cuba,CUBA ama URUSI walifikia hadi kuangusha ndege mbili za upelelezi za US na kupelekea kufa kwa rubani mmoja na US wakaufyata.,Zimbabwe wamefanyaje?
Kwa iyo unataka makosa makosa yafanane!! Kama ndo hivyo Iraq aliangusha ndege ipi ya US?! Haya uturuki alidungua ndege ya urusi, Israel alisababisha ndege ya urusi ikadunguliwa, hii inaonyesha Russia anaogopa US ndo maana hakuzivamia turkey na Israel. We Mrusi usije ukanambia waliomba msamaha teh! Warusi buana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
US haihitaji kujisifu,lol ! wewe utakua sio raia wa dunia hii,hakuna nchi inayojisifi hapa duniani kama US,kwa kuonesha uwezo wao wa kijeshi kwa vinchi vidogo kama nk,somalia,iraq.libya,syria,kosovo.n.k,kwa kutaka kufaanya mazoezi ya kijeshi na vinchi mabalimbali,kwa matangazo yao mbalimbali,kupitia cnn,fox news ,abc,et.,washington post ,news week etc,
kubwa kuliko yote hollywood movies ni balaa,kila movie ya vita au ujasusi,ni wao tu hushinda ingawa historia zinaonesha vita nyingi walishindwa,
hotuba za viongozi wao nyingi ni kusema kuwa "US ni taifa lenye nguvu kubwa kijeshi,kuliko taifa lolote hapa kwenye sayari ya dunia" ,'we are the super powers",make Amerika great again',n.k
kujiona linaweza kulipiga taifa lolote hapa duniani wakati kuna mataifa wamesanda,
kuonesha ama kupeleka masilaha yao kama ma aircraftcarrier kwa vi nchi wanavyotofautiana navyo,
kushambulia vinchi vidogo hata bila ya idhini ya umoja wa mataifa,
kupeleka silaha zao ulaya ya mashariki kila ukitokea mgogoro baina ya Urusi na majirani zao,ambazo silaha hizo haizitumii.
Kulazimisha mambo ya kijeshi kama kujenga lada na mitambo ya kujilinda huko ulaya,hii yote ni majisifu.
sasa upande wa pili wakaona kukaa kimya itaonekana ni wanyonge ingawa wanajijua kuwa sio wanyonge ,ndipo walipoanza kujibu,propaganda hujibiwa kwa propaganda,kuonesha silaha ni sehemu ya propaganda,na siku nzuri ni russia victory day,nyingine ndo kuutumia mgogoro wa syria kuonesha misuli.
sasa siku hizi sentensi zimebadilika ,siku hizi imekua ni Urusi inajisifiia,kumbe sio,propaganda imejibu vilivyo.
kwa kifupi US ni full kujisifu,ila ujanja wa kujisifu sasa umepungua,

Inasemekana Putin wa Urusi kamweka Trump madaraakani,sio mimi nisemae haya,bali hii ni kwa mujibu wa CIA,FBI,NSA,and many more others.tehe tehe tehe.upepo unageuka taratibu.
Daa ujue mungu anakuona haaaaa!
 
US nguvu yake kwasasa imebakia kwenye #Sanctions na kutegemea NATO na washirika wake anaowatumia km waasi....imagine nguvu ya NATO economically na Nguvu ya US economically then ipambane na mataifa mengine...Laiti US asingekua akitumia vibaraka wake ni wakawaida tu....Latest Pentagon reports,US wana zilist Russia,China na Iran km threats ktk mikakati yao ya nguvu za kijeshi ndomaana silaha kubwa anayotumia US ni Economic embargo and Sanctions hasa kwa Russia na Iran maana Mchina kashamshindwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom