Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,383
kitu pekee ambacho US anamzidi russia kijeshi ni bajeti tu tena nadhani ni kwa kuwa us ana base nyingi pia ananunua silaha kutoka kwenye makampuniUrusi Yupo Juu Ya Marekani Kijeshi? Sidhani Kama Tayari Wana Uwezo Huo Sababu Bado Urusi Wako Kwenye Hatua Za Kujijenga Kiuchumi. Marekani Tayari Ni Nchi Yenye Uchumi Mkubwa Zaidi Duniani Na Hata Bajeti Yake Katika Maswala Ya Ulinzi Ni Kubwa Na Imeizidi Kwa Mbali Sana Ile Ya Urusi.
Marekani Kwa Sasa Wana-Spend Zaidi Ya 600 Billlion US Dollars Huku Ya Urusi Ikiwa Around 66 Billion US Dollars. Kwa Maana Hiyo Hata Aina Ya Teknolojia Katika Maswala Ya Kijeshi Aliyonayo Marekani Ni Bora Zaidi Kuliko Ya Urusi Ikiwemo Military Hardwares, Active Military Personnel n.k. Kwa Ujumla Wake.
Hapo Nimeelezea Bila Kuhusisha NUKES. Ukiingiza Kigezo Cha Nyuklia Pekee, Hapo Hakuna Mshindi.
labda na hizo meli za kubeba ndege ambazo pia kwa urusi hazina ulazima maana yeye ndege zake zinaweza kwenda mbali bila shida yoyote tofauti na ndege za us
Sent using Jamii Forums mobile app