Kwanini Marais wa Tanzania ni Waislamu na Wakatoliki tu?

Status
Not open for further replies.

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,317
12,617
Tangu nchi ipate Uhuru kutoka kwa Muingereza 1961 tumekuwa na marais 6; Mwl. Nyerere (Mkatoliki), Rais Mwinyi (Muislam), Rais Mkapa (Mkatoliki), Rais Kikwete (Muislam), Rais Magufuli (Makatoliki) na Rais Samia (Muislamu).

Hii inatokea kwa bahati mbaya tu au inapangwa, na kama ni kwa bahati mbaya tu hiyo bahati mbaya itaondokaje na kama inapangwa ni nani anapanga na kwanini?

Haya madhebu mengine ya Kikristo yana shida gani?
 
Lwa wakristo ni Wakatoliki tu, manake Pentekoste, Lutheran etc hawana nafasi. Je kwa waislam ni denom gani inapewa hiyo nafasi?
BAKWATA oriented muslim ndiye anatakiwa hapo,ukiwa unatoka kwenye ile stream inayopinga BAKWATA unaondolewa,the same applies to the second side ukiwa siyo mkatoliki jina lako lazima lienguliwe,mfano mzuri ni ule uchaguzi ambao ulimpelekea Hayati JPM kuwa raisi,nguvu kubwa sana ilitumika kumpiga chini Edward Lowasa,sababu ya kumuondoa kwenye kinyang'anyiro ilikuwa ni dhehebu lake yeye si mkatoliki.
 
HAKUNA MUISLAMU ASIYEJUA PADRE WA ROMAN WARAQA BIN NAWFAI NDIYE ALIYEMPA MOHAMED UTUME.


Waraqa bin Nawfal ni mtu ambaye alikuwa na ujuzi wa dini ya Kikristo PADRE WA ROMAN.
alikuwa ni binamu wa mkewe Khadija bint Khuwaylid, ambaye alikuwa mke wa kwanza wa Mtume Muhammad (S.A.W).

Kuna riwaya ambazo zinasema kwamba Waraqa alitabiri kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W) kabla ya kuanza kwa utume wake, na alimsaidia sana katika kuanzisha Uislamu.

Waraqa alikuwa na maarifa ya Biblia na Injili, na inajulikana kuwa alikuwa amejiweka katika sehemu za kupata maarifa hayo katika enzi zake. Baadhi ya riwaya zinasema kuwa Waraqa alisoma maneno ya kwanza ya Suratul-Alaq ambayo yaliteremshwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) katika Pango la Hira.

Waraqa alikuwa mmoja wa watu wa kwanza kusilimu, na inasemekana kuwa alikuwa ameshaandika baadhi ya vitabu ambavyo vilikuwa vinaashiria kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W). Hata hivyo, Waraqa alifariki kabla ya kuanza kwa utume wa Mtume Muhammad (S.A.W) na hivyo hakuwa mmoja wa Masahaba wake wa karibu.
 
tangu nchi ipate Uhuru kutoka kwa Muingereza 1961 tumekuwa na marais 6; Mwl. Nyerere (Mkatoliki), Rais Mwinyi (Muislam), Rais Mkapa (Mkatoliki), Rais Kikwete (muislam), Rais Magufuli (Makatoliki) na Rais Samia (Muislamu). Hii inatokea kwa bahati mbaya tu au inapangwa, na kama ni kwa bahati mbaya tu hiyo bahati mbaya itaondokaje na kama inapangwa ni nani anapanga na kwanini?.

Haya madhebu mengine ya kikristo yana shida gani?
Na Waislam kwa nini ni Sunni peke yao? Sasa hivi tuwape Ahmadiya au Shia
 
BAKWATA oriented muslim ndiye anatakiwa hapo,ukiwa unatoka kwenye ile stream inayopinga BAKWATA unaondolewa,the same applies to the second side ukiwa siyo mkatoliki jina lako lazima lienguliwe,mfano mzuri ni ule uchaguzi ambao ulimpelekea Hayati JPM kuwa raisi,nguvu kubwa sana ilitumika kumpiga chini Edward Lowasa,sababu ya kumuondoa kwenye kinyang'anyiro ilikuwa ni dhehebu lake yeye si mkatoliki.
Sasa mbona Mwigulu anapasha viungo?
 
Kuna mlutheri mmoja amekuwa akifurukuta kuutaka urais huenda kuna nyakati kasumba ya wakatoliki na waislam kuwa marais pekee ikaondoka. Labda kuna MoU kati ya wakatoliki na waislam waachiane wenyewe tu urais kwa nyakati zote ila haileti picha nzuri
 
BAKWATA oriented muslim ndiye anatakiwa hapo,ukiwa unatoka kwenye ile stream inayopinga BAKWATA unaondolewa,the same applies to the second side ukiwa siyo mkatoliki jina lako lazima lienguliwe,mfano mzuri ni ule uchaguzi ambao ulimpelekea Hayati JPM kuwa raisi,nguvu kubwa sana ilitumika kumpiga chini Edward Lowasa,sababu ya kumuondoa kwenye kinyang'anyiro ilikuwa ni dhehebu lake yeye si mkatoliki.
Lowasa na Kikwete walishazinguana siku nyingi,kilichopelekea Magufuli kuingia 2015 ilikua bifu kati yake na Kikwete na si vinginevyo.
Hizi habari za kuambiana tawala wewe ukimaliza naingia mimi sio kabisa. Ruto ilikua manusura na yeye akose maana walishazinguana na Kenyatta,katiba yao kwa kuwa ina nguvu pamoja na wanachi vichaa ndio vilimpa Ruto ushindi.
 
Kuna mlutheri mmoja amekuwa akifurukuta kuutaka urais huenda kuna nyakati kasumba ya wakatoliki na waislam kuwa marais pekee ikaondoka. Labda kuna MoU kati ya wakatoliki na waislam waachiane wenyewe tu urais kwa nyakati zote ila haileti picha nzuri
Hakuna MoU yoyote hiyo inajitokeza tu hizi nyingine ni dhahania tu. Hebu tuongelee kwa wakati huu baada ya Mh: Samia kumaliza muda wake tuanze kuangazia kwa sasa ni wanasiasa gani wana nguvu ya kufikiliwa tuangalie na imani zao kuna jambo tunaweza kujifunza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom