Pesa ni kitu rahisi kubadilisha na kupata kile ambacho mhitaji anahitaji.Huwezi kubaini mara moja mfiwa anahitaji Nini kwa wakati ule hivyo ukitoa pesa itamsaidia yeye au wahusika kununua mahitaji yanayohitajika.Kwetu vijijini kukitokea msiba mtu atabeba alichonacho.Unga,maharage, pombe,kuku ,mboga za majani chochote ambacho anajua kitahitajika pale msibani ili mfiwa asihangaike kufikiria atawapa Nini watu wanaokuja kuomboleza pamoja naye.Habari za asubuhi!
Nimeona mara nyingi mtu akipatwa na msiba basi ndugu, jamaa na marafiki hujichangisha pesa(rambirambi) kwa ajili ya mkono wa pole kwa mfiwa.
Je, kuna ulazima wowote wa kutumia pesa kama mkono wa pole?
Pale msibani hujaona watu wakila na wakinywa? Ulitaka wale pesa ya Nani?Habari za asubuhi!
Nimeona mara nyingi mtu akipatwa na msiba basi ndugu, jamaa na marafiki hujichangisha pesa(rambirambi) kwa ajili ya mkono wa pole kwa mfiwa.
Je, kuna ulazima wowote wa kutumia pesa kama mkono wa pole?
Because it is the main medium of exchange and measure of value.Habari za asubuhi!
Nimeona mara nyingi mtu akipatwa na msiba basi ndugu, jamaa na marafiki hujichangisha pesa(rambirambi) kwa ajili ya mkono wa pole kwa mfiwa.
Je, kuna ulazima wowote wa kutumia pesa kama mkono wa pole?
You deserve my salute 🙋Ukienda Mwakaleli kwa kina Bujibuji kule ni vitu zaidi, sado ya mahindi, kuni, maharage, ndizi, mafuta ya kupikia, chumvi, sukari n.k.
Wafiwa wanakaa ndani nje mambo yanaendelea.
Everyday is Saturday...............................