Kwanini maofisi mengi hutumia computer za DELL?

Kwanini maofisi mengi hutumia computer za DELL?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,436
Kwa Tanzania maofisi mengi sana hupendelea kutumia computer za Dell, je ni nini hasa kilichosababisha Dell ikubalike zaidi kwa shughuli za maofisini?
 
Dell wazuri sana kwenye kusupply cheap pc zenye specs ok, wanaweza kusupply pc yenye config ya aina moja in bulk so management inakuwa rahisi zaidi. Pia nadhani wana deal za kibiashara nzuri, warranty financing, upgrades, tech support etc.
 
Kwa Tanzania maofisi mengi sana hupendelea kutumia computer za Dell, je ni nini hasa kilichosababisha Dell ikubalike zaidi kwa shughuli za maofisini?
good businessmen lol!
 
Kwa Tanzania maofisi mengi sana hupendelea kutumia computer za Dell, je ni nini hasa kilichosababisha Dell ikubalike zaidi kwa shughuli za maofisini?

Mkuu mi nimepita tu,hilo silijui ila ofisini kwangu computer zote zaidi ya 200 ni HP

 
Subiri nifanye uchunguzi,,hapa kwetu kweli wanatumia DELL.
 
Sina hata mouse ya Dell. Desktops zote HP. Laptops Toshiba na Vaio. Multimedia yupo Mac.. Naona Dell wamezoeleka, pia wamepenetrate marketing vema huku bongo ndo maana.
 
Hapa kwetu zaidi ya hizo sababu zilizotajwa juu, nyingine ni security.
 
hahaha ofisi yangu ya home ina 22inch dell monitor pekee thanks to nyasiro kwa kufanya mambo yatokee, the rest. ni hewlet and parkered hawa ndo nawaaminia asee ni magwiji when comes to durable stuffs
 
Last edited by a moderator:
Angalieni vizuri Dell ilivyo tengenzwa !?
Utashangaa kuona Dell hawakothabiti katika kila model
kwa mfano Model D610 ina tumia vifaa tofauti na Model zingine
ubora Mhh
 
Msisahau hii ni nchi ya kitu kidogo, kama Dell wanatowa 10% kwa Procurement officials mnategemea nini? Mimi natumia Lenovo safi kabisa.
 
Nadhani ni maamuzi tu. Kibaruani kwangu PC zote ni Fujitsu Siemens, zimewekwa baada ya kuondoa HP
 
Lets go back to the fact. Naona wengine mmejaribu kugusia tu. Ukweli ni kwamba Dell sio manufacturer wa computer, yeye ni assembler. Kwa hiyo, kwa wafanya biashara ili kuweza ku-supply kitu bora kwa bei nafuu na faida kubwa hupenda ku-supply Dell.

Dell wanatumia CRM ambayo ina CSC pindi mtu unapoweka order na ku-confirm tayari suppliers wa components according to your requirement wanakuwa wamepata taarifa na wana-supply kwa nearest assembler wa dell then unapata kitu roho inapenda.

Tofauti na kampuni nyingine kama Sony, Toshiba na HP wao wanakuwa na off shelf product. Kwa hiyo kama unataka kitu za ladha yako ni ngumu kupata moja kwa moja. Lazima itakuwa na over specs, tofauti na dell ambayo inakuwa according to your requirement.

Learn Marketing strategies.
 
hapa kwetu ni kampuni ya kimarekani, tumeletewa dell kutoka ZA, kabla ya hapo tulikuwa tunatumia Compaq
 
mimi naona dell imesambaa sana hapa kwetu kutokana na sababu zifuatazo
1.Dell ni rahisi kwa bei kulinganisha na suppliers wengine
2.drivers na software za dell,ni compatible kwa dell za model tofauti.
3.Dell wana hardware assurances,yaani ukinunua dell-latitude,dell-vostro,optiplex..et al.....zinaingiliana vifaa,kama wireless cards,motherboard,n.k
4.dell wana customer support nzuri mno


from the above reasons,naomba nielezee hoja yangu,katika makampuni,its the IT manager ambaye anaamua ni brand gani itumike,na yeye hupeleka mawazo kwa procurement/supplies department ili waweze kununua.kwa ajili ya dell kuwa ni rahisi ku-repair,na vifaa vyake vinaingiliana,vinadumu,na wanapata support kukiwa na tatizo.basi unakuta IT managers wa makampuni makubwa wananunua reputable computers from a reputable company,,,,,kampuni zingine zinazoongoza kuwa katika maofisi hapa bongo ni HP,Lenovo na mac
 
Back
Top Bottom