Kwa Tanzania maofisi mengi sana hupendelea kutumia computer za Dell, je ni nini hasa kilichosababisha Dell ikubalike zaidi kwa shughuli za maofisini?
acha kutafuta uchokozi kaka ina maana mnataka kutukaba kila mahali
Kwa Tanzania maofisi mengi sana hupendelea kutumia computer za Dell, je ni nini hasa kilichosababisha Dell ikubalike zaidi kwa shughuli za maofisini?
Hivi hujawahi ona mtu kazi yake ni ku track magari kwa kutumia internet na sio kila mara anatrack hayo magari?unadhani muda mwingine atatumia kufanya nini na internet anayo?Kwahiyo kama kazi yako ni IT na computer ndio muda wote uwe JF?
Na wewe use ur common sense, inawezekana vipi ukaweza kumuona mtu yuko JF muda mwingi kama na wewe huwa haupo online?
muda mwingine ni mazoea tu....
Hivi jamani ni kweli hizi"Dell Inspiron" zimetengenezwa na DELL au au kuna ujanja-ujanja mimi sidhani kama dell wanaweza kutengeneza kompyuta mbovu kama hizi :shock: kutakuwa kuna kitu hapa...
Mimi natumia MAC PRO ni kitu cha uhakika namshangaa C6 kutumia DELL wakati anadeal na graphics
hahaha poa mkuumonitor ndio natumia dell maana nimeapata screen kubwa kwa bei affordable, ila cpu uwa natumia HP zenye specs za uhakika, my dream machine imac, ila sasa kibongo bongo bei zake balaa, ila siku si nyingi ntahamia kwenye apple mazima usihofu mama toto
Kwa Tanzania maofisi mengi sana hupendelea kutumia computer za Dell, je ni nini hasa kilichosababisha Dell ikubalike zaidi kwa shughuli za maofisini?
Personally dell hua naiutaga alternative ya mac coz yenyewe unatumia windows kutofautisha na ios ya mac..specs zake kwa mbali zinafanana na za mac na hata kwa motion graphics iko fresh..kama huwezi afford mac..ni kama bbm na whatsapp tu vileMimi natumia MAC PRO ni kitu cha uhakika namshangaa C6 kutumia DELL wakati anadeal na graphics
Os ya Mac kwenye graphics na aniamation windows haioni ndani kabisaPersonally dell hua naiutaga alternative ya mac coz yenyewe unatumia windows kutofautisha na ios ya mac..specs zake kwa mbali zinafanana na za mac na hata kwa motion graphics iko fresh..kama huwezi afford mac..ni kama bbm na whatsapp tu vile
Mac ni kwa ajili ya graphics designig ndo mana ziko pricy..kimsingi kabisa..!!Os ya Mac kwenye graphics na aniamation windows haioni ndani kabisa