Kwanini maofisi mengi hutumia computer za DELL?

Kwanini maofisi mengi hutumia computer za DELL?

Kwa Tanzania maofisi mengi sana hupendelea kutumia computer za Dell, je ni nini hasa kilichosababisha Dell ikubalike zaidi kwa shughuli za maofisini?

Swali lako Bujibuji ni gumu kulijibu kama wageni wasipoelewa kwa nini idadi kubwa ya magari Tanzania ni TOYOTA; labda jibu rahisi ni kuwa DELL waliwahi kuingia soko la Tanzania mapema na kampuni nyingine kama COMPAQ zilikuja kununuliwa zikatoka kwenye soko
 
Last edited by a moderator:
mimi naona dell imesambaa sana hapa kwetu kutokana na sababu zifuatazo
1.Dell ni rahisi kwa bei kulinganisha na suppliers wengine
2.drivers na software za dell,ni compatible kwa dell za model tofauti.
3.Dell wana hardware assurances,yaani ukinunua dell-latitude,dell-vostro,optiplex..et al.....zinaingiliana vifaa,kama wireless cards,motherboard,n.k
4.dell wana customer support nzuri mno


from the above reasons,naomba nielezee hoja yangu,katika makampuni,its the IT manager ambaye anaamua ni brand gani itumike,na yeye hupeleka mawazo kwa procurement/supplies department ili waweze kununua.kwa ajili ya dell kuwa ni rahisi ku-repair,na vifaa vyake vinaingiliana,vinadumu,na wanapata support kukiwa na tatizo.basi unakuta IT managers wa makampuni makubwa wananunua reputable computers from a reputable company,,,,,kampuni zingine zinazoongoza kuwa katika maofisi hapa bongo ni HP,Lenovo na mac

Toshiba ni rahisi kuliko DELL
 
Toshiba ni rahisi kuliko DELL

it may be cheaper kununua,lakini ku-repair na kupata spare hardware ni shughuli na gharama kubwa,refer to post ya Mkaa Mweupe,kwamba Dell ni assemblers,na toka dell ianzishwe inafanya outsourcing from different suppliers for its parts,so by any way itakuwa rahisi,maana hao suppliers wanaweza kuuza hizo spares,at a cheaper price.nadhani umenielewa
 
Last edited by a moderator:
Kuna maofisa waandamizi watatu ambao walikuwa wakifanya kazi BOT walianzisha kampuni yao inaitwa Infosisy wakawa Authorized dealer wa Dell hapa Tanzania. Walifanikiwa kuchukua tende za kusupply computers kwenye taasisi za serikali, mabenki. Moja wa wamiliki wa kampuni hiyo ni Mh Kitwanga ambaye sasa ni Naibu waziri Sayansi na Teknologia. Nadhani mnafahamu Infosisy House iliyoko hapo Dar.
 
Kwa Tanzania maofisi mengi sana hupendelea kutumia computer za Dell, je ni nini hasa kilichosababisha Dell ikubalike zaidi kwa shughuli za maofisini?

biashara ya mtu hiyo stock bado haijaisha tutabadilisha...
 
Kuna maofisa waandamizi watatu ambao walikuwa wakifanya kazi BOT walianzisha kampuni yao inaitwa Infosisy wakawa Authorized dealer wa Dell hapa Tanzania. Walifanikiwa kuchukua tende za kusupply computers kwenye taasisi za serikali, mabenki. Moja wa wamiliki wa kampuni hiyo ni Mh Kitwanga ambaye sasa ni Naibu waziri Sayansi na Teknologia. Nadhani mnafahamu Infosisy House iliyoko hapo Dar.
Si wana jengo jipya hapo Kinondoni mtaa wa Mwindu Line?
 
Back
Top Bottom