Kwanini mama wake huangalia kucha?

Kwanini mama wake huangalia kucha?

SOCIOLOGISTTZ

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
2,615
Reaction score
929
Mama wakwe wengi kutoka makabila mengi kama siyo yote hapa Tanzania wana tabia ya kuangalia watoto wachanga wanapozaliwa viungo vyake vya mwili kama kucha, vidole, miguu, mikono nk, Lakini huwa wanaangalia zaidi kucha na vidole vya miguu na mikono kuliko viungo vingine. Mama wakwe hawa ni wamama wa mume wa mtu. Nilijaribu kuwauliza baadhi yao lkn hawakunipa majibu ila wanasifia tu mtoto ni mzuri, mwenye kujua siri hii tafadhali atujuze ili tuelimike wote, Asante
 
mi nishajiuliza sana kwanini watoto wanazaliwa na kucha? halafu unakuta zimekomaa kweli nyeusii na uchafu kibao!!!

kwani huwa kuna kujikuna huko tumboni?
 
mi nishajiuliza sana kwanini watoto wanazaliwa na kucha? halafu unakuta zimekomaa kweli nyeusii na uchafu kibao!!!

kwani huwa kuna kujikuna huko tumboni?

mmnnhhh..!!
Hii inaweza ikawa ya kufungia wiki.
 
Mama wakwe wengi kutoka makabila mengi kama siyo yote hapa Tanzania wana tabia ya kuangalia watoto wachanga wanapozaliwa viungo vyake vya mwili kama kucha, vidole, miguu, mikono nk, Lakini huwa wanaangalia zaidi kucha na vidole vya miguu na mikono kuliko viungo vingine. Mama wakwe hawa ni wamama wa mume wa mtu. Nilijaribu kuwauliza baadhi yao lkn hawakunipa majibu ila wanasifia tu mtoto ni mzuri, mwenye kujua siri hii tafadhali atujuze ili tuelimike wote, Asante

Muulize mama yako kwani na yeye si mama mkwe? Kama siyo hata shangazi yako ama ma mdogo/mkubwa. Akujuze huwa wanatazama nini
 
Muulize mama yako kwani na yeye si mama mkwe? Kama siyo hata shangazi yako ama ma mdogo/mkubwa. Akujuze huwa wanatazama nini
ningejua ni kwanini nisingeuliza humu, bali ningeileta kama elimu humu JF

 
Kucha ni sawa na DNA walizotumia wazee kipind hicho hat kwa sasa mama mkwe hasa wa kijijin mkimpokea mjuukuu cha kwanza ni kucha za miguu..
Vipingili na kucha unatambua kama mjukuu wake or laa.
 
Wengi wao wanakuwa wanakumbuka jinsi muundo wa vdole vya watt wao wakat wamezaliwa so kuangalia hyo ni kama kumbukumbu fulan inayoconnect uzao wake na huo uzao wa mwanae.....
 
Kucha ni sawa na DNA walizotumia wazee kipind hicho hat kwa sasa mama mkwe hasa wa kijijin mkimpokea mjuukuu cha kwanza ni kucha za miguu..
Vipingili na kucha unatambua kama mjukuu wake or laa.
nashukuru sana kwa elimu ninayozidi kupata humu JF

 
Wengi wao wanakuwa wanakumbuka jinsi muundo wa vdole vya watt wao wakat wamezaliwa so kuangalia hyo ni kama kumbukumbu fulan inayoconnect uzao wake na huo uzao wa mwanae.....
kujua elimu mmbadala ni raha sana huku kwenye jamii, nakushukuru mkuu

 
nashukuru sana kwa elimu ninayozidi kupata humu JF


Kama umeoa mkuu kaa na mama yako muulize taratibu atakuonyesha connection ya kucha zako na za mwanao.
Mkeo hawez kucheat ndo mana wazee wa zaman waliweza kujua haya mambo
 
Kama umeoa mkuu kaa na mama yako muulize taratibu atakuonyesha connection ya kucha zako na za mwanao.
Mkeo hawez kucheat ndo mana wazee wa zaman waliweza kujua haya mambo
hiyo safi sana, lakini bahati mbaya sina mama, alishatangulia mbele za haki

 
Wengi wao wanakuwa wanakumbuka jinsi muundo wa vdole vya watt wao wakat wamezaliwa so kuangalia hyo ni kama kumbukumbu fulan inayoconnect uzao wake na huo uzao wa mwanae.....

Ushapatiwa majibu ila kama baba alivyo ndivyo mwana alivyo so hiyo mototo tokea ganja ya mokono,vidole,micchoro ya mikono na nyayo x kama baba baaax wee mama mkwe anakutimua coz nataka bandikisia manayee majukumu ya mume ingine. Veveee naelewaa saaasa?
 
Back
Top Bottom