Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,194
Weeeee kumbe???!!! Dah sijawahi pata hata sh 100 nyingi sana ni 67.๐๐๐๐ Fanya miamala dear. Mimi huwa sio haba, Mara ya mwisho kagawio nilienda kukata kitambaa nkashona kagauni kangu freshh. IIa hela ya mashono haikutoka hapo๐๐๐
Basi hapo ukute nimeamka usingizini nakutana na TIGOPESA umepokea nasmileee.....mara gawio sh 23 nasonya.