Kwanini majina ya nchi za Asia Kaskazini na baadhi za Kiarabu huishia na "stan"?

Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikijiuliza kuhusu majina ya hizi nchi za Asia kaskazini na baadhi ya za Kiarabu kuishia na "STAN" mfano
Kazakhstan,Kyrgyzstan,Trukimenistan, Uzbekistan, Pakistan,Afriganistan na Tujikistan na zinginezo....kuna maana yeyote ya majina hayo?
Ni vitu vya kugoogle tu.
STAN means LAND OF.
Mfano: Afghanistan ni land of afghans, uzbekistan ni land of uzbeks nk.
 
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikijiuliza kuhusu majina ya hizi nchi za Asia kaskazini na baadhi ya za Kiarabu kuishia na "STAN" mfano
Kazakhstan,Kyrgyzstan,Trukimenistan, Uzbekistan, Pakistan,Afriganistan na Tujikistan na zinginezo....kuna maana yeyote ya majina hayo?
Ni kwa sababu "STAN" ni neno la ki-Persia(Iran-Uajemi lenye kumaanisha "NCHI" au "ARDHI". Zamani Persia ilikuwa na ufalme mkubwa na wenye nguvu ulioacha tamaduni na lugha eneo kubwa walilotawala ikiwemo hizo "Stans". Kwa hiyo kila nchi waliyoitawala waliipa jina kwa maana ya kabila lililoishi eneo hilo na kimalizia na stan.
Mfano:
Nchi ya WaTajik waliita Tajikistan.
Nchi ya WaKhazakh- Khazakhstan...n.k
 
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikijiuliza kuhusu majina ya hizi nchi za Asia kaskazini na baadhi ya za Kiarabu kuishia na "STAN" mfano
Kazakhstan,Kyrgyzstan,Trukimenistan, Uzbekistan, Pakistan,Afriganistan na Tujikistan na zinginezo....kuna maana yeyote ya majina hayo?
Sijasoma comments zote likely ushapata jibu ila jibu ni ....

Stan za=Land, simple reference chukulia Switzerland, Swaziland. Ni "nchi" kwa maana nyingine ni kiunganishi cha jina nchi ama mamlaka. Ni kama katika lugha ya kichina nchi nyingi zinatamkwa na kiunganishi "guo" inavotamkwa. Mf. Meiguo =US, Zhonguo =China, Yinguo=UK nk.
 
Stan,=Persian word for land or place
Like Afaghnistan-the land of afghan
 
Stan maana yake ni eneo au sehemu
Makabila mengi huko walijiita kulingana na eneo husika lililokaliwa na makabila makubwa ndio maana unasikia Pakistan yaani nchi ya wapaki
 
Back
Top Bottom