Kwanini maisha ya Ulaya yana stress pressure fatigue kuliko mtu anayeishi Tanzania?

Mkuu jabo muhimu ni kua stress free low standard au high standard ni useless kama mda wowote na pata heart attack kwa sababu ya stress za daily life.
Wewe unaamini so called Ulaya ina watu wenye stress kuliko Africa? Wewe unahisi hivyo kwasababu wenzetu wana address matatizo ya akili, hapa hamna anaejali ndio mnafikiri tatizo hakuna. Mbuni kuficha kichwa kwenye mchanga.
 
Acha stori za vijiweni na kutunywesha kahawa umeenda ulaya ya wapi wewe..ukimtafuta mtz wa umri wako anaeishi ng'ambo bila shaka ataonekana mdogo ilihali wewe anakuzidi umri lakini ana nuru maana hana stress acha kutupanga. Death rate ya tz ni kubwa kuliko ng'ambo
Mkuu unacho pinga ni kipi? Kwamba Ulaya hamna stress au nini? abrupt death Ulaya ni nyingi kuliko Africa jiulize kwanini?
 
Bongo wasomi na wasiosoma wanakula sahani moja kwa vile elimu haitumiki , matajiri wengi wa bongo wanapata easy money sio kutumia akili kubwa ndio maana hata vilaza wanaweza kuwa matajiri , hata darasa la saba anakuwa tajiri.
KItendo cha kuagiza nguo zilizotengenezwa kutoka china sio maarifa , anayetumia maarifa yule anayebuni fashion za nguo , viatu , bidhaa mbalimbali ili auze ...Anatumia na ghrama &maarifa sana mpaka bidhaa ipate soko .

Bongo ajiri akishusha kontena na sukari basi anauza lote bila ya stress maana hata serikali inaelekeza watu wakanunue kwake.

Ulaya matajri wanaumiza kichwa hata mda wa kulala ni mdogo , mpaka wanazeeka wanaumiza kichwa na kutafuta maarifa sio kama bongo .​
Kama rahisi hivyo kila mtu angekuwa tajiri. Wewe hutaki kuwa tajiri kama Wakinga? Haya nenda na wewe China kalete nguo au chochote uwe tajiri.
 
Tanzania ni nchi ya 135/145 kwa furaha duniani. Yani tupo top ten kutoka chini. Hizo nchi za Europe ulizotaja ni Ukraine na ugiriki pekee ambazo watu wake hawana furaha.
Unaposema Ulaya kuna stress kuliko Tz unatumia data zipi?
Nchi za ulaya na western kwa ujumla maisha kule sio poa
Isack gamba alifariki na kakaa zaidi ya siku mbili kujua hio inakupa picha hali ilivyo
 
Anayetakiwa kusema hivyo ni mtu ambaye kaishi tz na uk, angeelezea vizuri kabisa na mifano angetoa

Wewe umeleta mada kwa hisia bila ushahidi wowote, wajinga tu ndo watakuamini.

Nyie ndo wale mnasema 'oh, marekani mtoto anasomea kitu anataka, akionekana anapenda magari anasomea toka utotoni'

Stori za kwenye draft hizi😆
 
Unajua watu wangapi wanaishi chini ya $1 nchi hii? Hao wanaweza kujenga na uhakika wa kula sio?
Unajiangalia wewe na wenzio na wenzio wenye vimishahara vya 1.5m mnaoweza kununua 15yo IST na kujenga nyumba sehemu ambayo mvua ikinyesha huwezi kuingia au kutoka kwako ndio Tz nzima.
Mkuu usitumia kipimo cha kuishi chini ya $1 kama yardstick ya kupima uwezo wa watu hapa Tz, kuna mambo mengi watu wanapata non monetary incetives nyingi, njoo dar ujionee watu wamejenga kila sehemu neenda mwanza neenda Arusha ndo utagundua watu wako, vizuri hawana stress kama za Ulaya uko.
 
wakinga wapi matajiri? Ebu leta top 10 kama kuna mkinga , wachuuzi hao hmna kitu :D :D

Kila jamii kuna matjiri ila wa bongo sio wa kuumiza kichwa kwa sana.
Kwahio kwako tajiri ni top ten tu? Maelezo yako matajiri hawatumii akili,nguvu wewe vipi hutaki kuwa tajiri? Mtu mwenye bilion 3+ ni tajiri. Wapo Wakinga wengi Kariakoo wana zaidi ya hio. Kama rahisi wewe hutaki au ndio mmoja wa hao matajiri mliotajirika kirahisi?
 
Mkuu usitumia kipimo cha kuishi chini ya $1 kama yardstick ya kupima uwezo wa watu hapa Tz, kuna mambo mengi watu wanapata non monetary incetives nyingi, njoo dar ujionee watu wamejenga kila sehemu neenda mwanza neenda Arusha ndo utagundua watu wako, vizuri hawana stress kama za Ulaya uko.
Duh haya mkuu nimekuelewa.
 
Kwahio kwako tajiri ni top ten tu? Maelezo yako matajiri hawatumii akili,nguvu wewe vipi hutaki kuwa tajiri? Mtu mwenye bilion 3+ ni tajiri. Wapo Wakinga wengi Kariakoo wana zaidi ya hio. Kama rahisi wewe hutaki au ndio mmoja wa hao matajiri mliotajirika kirahisi?
Hizo takatka ni middle income earners tu wakawaida hawana maajabu ...Wtu wanamiliiki viwanda unaongelea midosho ya china hamna matajiri hapo.
 
Sasa hivi ni asubuhi, saa tatu na ukifika maeneo mbalimbali kama kariakoo utakuta idadi kubwa ya watu kwenye mafungu wanakunywa kahawa na kuongea simba/yanga. Huenda baadhi hata hawajui lunch itaendaje ila wanaishi, wamezoea na wanafurahia kwa namna yao.

Huko ulaya life linawakimbiza watu balaa, yaani every move you make ni kukimbia, mwendo wa haraka, hakuna kukaa makundi kuongea na kuoiga story, zipo recreation centers utaenda na mbwa wako mkabadilishane mawazo na kucheza nae.

So, yeah maisha ya ulaya yana stress zake nyingi tu.
 
Mkuu unacho pinga ni kipi? Kwamba Ulaya hamna stress au nini? abrupt death Ulaya ni nyingi kuliko Africa jiulize kwanini?
Wewe hujaishi ulaya na hautokaa uishi
Mkuu unapinga au hujui maana ya stress........watu wanao pata sudden death due to heart failure Ulaya ndo inaongoza.
Wewe ndio hujui maana ya stress Yani Tanzania watu life limewapiga mpaka wanaongea wenyewe uje ufananishe na ulaya acha habari zako mzee
 
Anayetakiwa kusema hivyo ni mtu ambaye kaishi tz na uk, angeelezea vizuri kabisa na mifano angetoa

Wewe umeleta mada kwa hisia bila ushahidi wowote, wajinga tu ndo watakuamini.

Nyie ndo wale mnasema 'oh, marekani mtoto anasomea kitu anataka, akionekana anapenda magari anasomea toka utotoni'

Stori za kwenye draft hizi
Mkuu wataka ushahidi gani mimi nimeishi North West London kwa zaidi ya miaka 7, na kazi nilio wahi kufanya nilifanya kwenye rehabilitation centre kama muhudumu, nacho ongea na kijua kama unapinga leta hoja nikupe data zaidi
 
Back
Top Bottom