Kwanini maisha ya Ulaya yana stress pressure fatigue kuliko mtu anayeishi Tanzania?



My young brother alipata Kazi Belgium akafanya Kama mwaka, kisha akapata bongo. Akasema ni heri afanye bongo kuliko kule hata kama maslah ni madogo lakini kuna maisha flan hivi yaan africanisations huku, free lunch ni nyingi....

Family life maisha ya ujamaaa. Kule ni full individualism na kuishi kwenye vijumba Kama domitories

So far wote tunamshangaa kwann ameamua kurudi huku Kwa mama samiya
Maisha Ulaya ni stress ful, unafanya kazi kwa ajili ya ku-survive to meet your basics only, mimi mshabiki wa chelsea nilikaa miaka saba sijawahi kungia ujani kuangalia mpira, its costful interms of time and money, wskati hapo naangalia mpira yote dstv bila matatizo yoyote, atanikitaka kuenda uwanja wstaifa kuangalia timu zenu pendwa hata 50k haishi ambao ni kama $20, what acheap stress free life at bongo..........life is choice nyie endeleeni kuishi huko na depression zenu.
 
Maisha Ulaya ni stress ful, unafanya kazi kwa ajili ya ku-survive to meet your basics only, mimi mshabiki wa chelsea nilikaa miaka saba sijawahi kungia ujani kuangalia mpira, its costful interms of time and money, wskati hapo naangalia mpira yote dstv bila matatizo yoyote, atanikitaka kuenda uwanja wstaifa kuangalia timu zenu pendwa hata 50k haishi ambao ni kama $20, what acheap stress free life at bongo..........life is choice nyie endeleeni kuishi huko na depression zenu.
Kuna siku niliona kale Ka jiko na Ka chumba Ka salimu kikekeee huko landan

Nikasema dah
 
Mkuu niko Tanzania Ulaya ilinishinda ila rudi kwenye hoja na upinge au ukubali, acha personal life ya mtu.

Kule maisha ya kwenye movies na reality ni tofaut sana ndo Mana waafrica Wengi wakienda huko wana data
 
Kuna siku niliona kale Ka jiko na Ka chumba Ka salimu kikekeee huko landan

Nikasema dah
Mbona bongo watu wanapikia nje?? Hata jiko hawana, wengine wanapikia kwenye corridor 50% majiko hayajakamilika ni chumba tu hakina hata pa kuoshea vyombo unaambiwa ni jikoni?

UK ni nchi flani ndogo ndio maana nyumba zao ni ndogo na hiyo inapelekea vyumba nk kuwa vidogo pia compared na nchi zingine za ulaya ama America
 
Daah umenikumbusha kipindi nipo sweden aisee unakula vizuri unaenjoy moment lakini mwisho wa siku amani ya moyo inakuwa haipo sawa, stress nyingi zinatokana na kutokuwa huru kama huku africa, ilifikia kipindi nilijuta kwanini tulitoroka kambi na kuingia sweden 🙏
 
Mkuu ulikaa Sweden mji gan
Daah umenikumbusha kipindi nipo sweden aisee unakula vizuri unaenjoy moment lakini mwisho wa siku amani ya moyo inakuwa haipo sawa, stress nyingi zinatokana na kutokuwa huru kama huku africa, ilifikia kipindi nilijuta kwanini tulitoroka kambi na kuingia sweden 🙏
 
Back
Top Bottom