Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,746
Yaani hii imekaaje?
Unakuta mtu unapania kabisa kua nikimpata huyu naoa kabisa, lakini baada ya kumpata na kupata unachotaka unaona kama yaani hana jipya, na unakua huna hamu naye kabisa, yani hata akikuita unatamani hata kupasuka kwa hasira, hii imekaaje?
Unakuta mtu unapania kabisa kua nikimpata huyu naoa kabisa, lakini baada ya kumpata na kupata unachotaka unaona kama yaani hana jipya, na unakua huna hamu naye kabisa, yani hata akikuita unatamani hata kupasuka kwa hasira, hii imekaaje?