-madirisha yana sbb nyingi zikiwemo light, ventilation, view, access, na inaweza kua false window for outdoor appearance, mfano magorofa mengi yenye curtain walls.
-kwa mazingira ya kawaida a space in a building inahitaji (ma)dirisha, katika mazingira mengine hua inakua changamoto/kwa maksudi katika kupangilia na sehemu kama choo au chumba kingine kinaweza kua bila dirisha ila lazima kutakua na means of light (artificial lights) na ventilation (extract fans nk).
-a space (a room, hall, washroom etc) hua na pyschological effect to the user interms of its shape, form, texture, colour, height etc.
mfano makanisa sana sana yaliyojengwa miaka ya zamani hua na umbo kubwa (labda kukupa hisia ukubwa wa Mungu) hua na madirisha madogo na mengine hua na vyoo vya rangi (light intensity hua ndogo labda kukupa hofu kdg, mashaka au labda kukupa faraja kua dhambi zako hazipo peupe) pia hua na ngazi/kitako kikubwa (safari ya mbinguni sio ngazi 2). ivo inawezekana kuna malengo mbali mbali kwa jinsi kanisa lilivyo.
-ukiacha spatial requirements (size ya choo, bafu, sink, kuhitaji nafasi ndogo (from 4sqm) basi pia washroom, with a water closet, washbasin and shower kua na size ndogo inaweza kua ili kujenga mazingira ya privacy. nafkir choo kingekua kikubwa kama sebule hata bila dirisha kubwa ungeweza kuhisi hauko private.
ila pia size ndogo ya chumba inaweza kua na tafsiri nyingine ikija kwenye chumba cha kwa mfano kwenye magereza.
-dirisha dogo la chooni inaweza kua kwanza kwa sababu ya proportions yani mwendano wa size ya room vs size ya dirisha, its strange kama mtoto mdogo wa 2yrs old ukimwekea sahani mezani kubwa sana inakua out of proportions. ila pia kwa mazingira ya wengi tz, madirisha mengi ni madogo pamoja na kupunguza gharama na kuongeza privacy (height huanzia 1800mm).
-labda nimesaidia kdg