Kwanini Landrover Defender zinapendwa sana?

Land rover zote ni gari za hovyo sana, very unreliable, kama unataka ufilisike sababu ya gari nunua any land rover car. Safari moja shamba nyingine garage. Hakuna kampuni hata moja limebaki kutumia land rover as their daily driver.

 

Attachments

  • 2631502_Screen_Shot_2020-12-05_at_1.03.12_AM.png
    2631502_Screen_Shot_2020-12-05_at_1.03.12_AM.png
    20.9 KB · Views: 18
  • 2631501_Screen_Shot_2020-12-05_at_1.02.34_AM.png
    2631501_Screen_Shot_2020-12-05_at_1.02.34_AM.png
    21.8 KB · Views: 18
  • 2631500_Screen_Shot_2020-12-05_at_1.01.07_AM.png
    2631500_Screen_Shot_2020-12-05_at_1.01.07_AM.png
    16.6 KB · Views: 18
Land rover zote ni gari za hovyo sana, very unreliable, kama unataka ufilisike sababu ya gari nunua any land rover car. Safari moja shamba nyingine garage. Hakuna kampuni hata moja limebaki kutumia land rover as their daily driver.


Sijui madesigner walikuwa hi kwa kilevi gani, defender wameiharibu moja kwa moja
 
Land rover zote ni gari za hovyo sana, very unreliable, kama unataka ufilisike sababu ya gari nunua any land rover car. Safari moja shamba nyingine garage. Hakuna kampuni hata moja limebaki kutumia land rover as their daily driver.

discovery td5 ni msala.ila 110 mashine
 
discovery td5 ni msala.ila 110 mashine
Tajiri wa Magomeni hiyo Td5 (5 cylinders) ni aina ya injini ambayo ilikuwa ni Mbadala wa Td300. Hivyo hiyo Td5 injini imetumika kote kwenye Land Rover Defender 110/90 na Land Rover Discovery 1&2.

Hilo neno 110 ni kigezo chao kutofautisha gari zao ambayo hiyo ni 110 inches, zile fupi ni 90inches ambazo ni 3 doors pia kuna 130inches hizi ni long base au ndefu zaidi, nyingi zilitoka kama double cabin pickup na station wagon.
 
Land rover zote ni gari za hovyo sana, very unreliable, kama unataka ufilisike sababu ya gari nunua any land rover car. Safari moja shamba nyingine garage. Hakuna kampuni hata moja limebaki kutumia land rover as their daily driver.



Hao jamaa wa TFL channel naona wamepewa Defender mpya baada ya ile ya kwanza kuzingua,
ngoja tuone review yao.
 
ni gari nzuri kwa porini/milimani coz aikwamii popote upate toleo la kwanza la muingereza af kitu ni cha carbureta ziliyumiki sansan kipindi cha mkoloni alipokua africaa kwa kipindi ichoo walikua wanaziwashia kwa mbele kwa kutumia handle kuzungusha engine mpaka inawaka japo uzingatie service tu pia spear zake ziko chini
old is good
 
Gari mpya kabisa 0 mileage imezingua inahitaji engine mpya LR engineers wenyewe ndo wamesema. That's a LR for you. Magari ya hovyo sana haya. Hata hiyo nyingine itawazingua tu tusubiri.
Warudishe injini wanazotumia kwenye Discovery 3/4 zile SDV6 na SDV8 Kwa diesel saizi watu wanazijua nje ndani.

Au watumie injini za Ford Duratorque engine 2.2L na 2.4L ambazo Land Rover Defender Puma na Freelander zimetumika.
 
Gari mpya kabisa 0 mileage imezingua inahitaji engine mpya LR engineers wenyewe ndo wamesema. That's a LR for you. Magari ya hovyo sana haya. Hata hiyo nyingine itawazingua tu tusubiri.

Hii LR Defender mpya inaonekana kabisa haitaki shurba, ngoja tuwape nafasi TFL wafanye review yao tuone, labda ile ya kwanza ilikua na tatizo kipindi cha production maana si mara ya kwanza kwa baadhi ya matoleo mapya kuzingua na kuwa recalled nakumbuka kuna kipindi Hilux & Fortuner za diesel zishawahi kuwa recalled.
 
Hii LR Defender mpya inaonekana kabisa haitaki shurba, ngoja tuwape nafasi TFL wafanye review yao tuone, labda ile ya kwanza ilikua na tatizo kipindi cha production maana si mara ya kwanza kwa baadhi ya matoleo mapya kuzingua na kuwa recalled nakumbuka kuna kipindi Hilux & Fortuner za diesel zishawahi kuwa recalled.

Mkuu sio hii Defender mpya tu bali LR karibu zote. Gari zao zinasifa ya unrealiability kuanzia Disco 1&2, Ranges karibu zote ni matatizo matupu na sasa hizi Defenders.

LR 3&4 walijitahidi kidogo ila bado hazipo kwenye viwango vya any Japanese cars in terms of realibility.

Sio bahati mbaya kuona hakuna organization yeyote duniani inatumia LR as their daily driver wakati enzi za 110 na disco 1 walikua wameshika organizations na serikali nyingi tu duniani.
 
Mkuu sio hii Defender mpya tu bali LR karibu zote. Gari zao zinasifa ya unrealiability kuanzia Disco 1&2, Ranges karibu zote ni matatizo matupu na sasa hizi Defenders.

LR 3&4 walijitahidi kidogo ila bado hazipo kwenye viwango vya any Japanese cars in terms of realibility.

Sio bahati mbaya kuona hakuna organization yeyote duniani inatumia LR as their daily driver wakati enzi za 110 na disco 1 walikua wameshika organizations na serikali nyingi tu duniani.

Ni kweli naona organizations nyingi zime’opt Land Cruiser hasa 70 series ingawa bado kuna wachache wanaendelea kutumia Defender Old model kama hapa bongo TASAF na jeshini naziona sana wanatumia kwa Safari za remote areas.
Nadhani ni gari zinazohitaji uangalizi wa karibu sana ili iweze ishi muda mrefu.
 
1PZ sijawahi kuzielewa kwa kweli ila 13B ni ya kibabe 😂😂😂!!!

1HZ ndio mashine ya ndima kwa miaka na miaka na still anaendelea kuitumia tu hata kwenye matoleo ya 2020! Siku akikatisha production ya 70 series watu wengi tutaumia sana.

Ila 1VD sijawahi itumia japo nikafeel pulling yake ila kwa body jepesi la 70 series itakuwa ina move sio kitoto.
1pz ni 1hz iliopunguzwa cylinder moja uimara ule ule

Less power kidogo kulingana na kukatwa cylinder moja

Kama ukiweza ipenda ugumu wa 1nz 4 cyl basi ndo ugumu ule ule utakuepo pindi imekatwa cylinder moja
 
Back
Top Bottom