Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,432
- 175,184
Unamjua Ratan Noval Tata mkuu? Ukimjua huyo ponjoro utaelewa kitu flani! Jaribu kumfuatilia japo kidogoMmmh hiyo kampuni ni ya kihindi kweli,duuh haya muzee
Unamjua Ratan Noval Tata mkuu? Ukimjua huyo ponjoro utaelewa kitu flani! Jaribu kumfuatilia japo kidogoMmmh hiyo kampuni ni ya kihindi kweli,duuh haya muzee
Unyama unyamaniHSE unyama
Hizi gari balaa! Zinapiga Shimo kama hazina akili nzuri. A true off road iconKwakweli twende mbele turudi nyuma Landcruiser mkonga ni mashine ya kiume. Hapa mjapani wagumu alitupa zawadi ya maisha
(Land Rover is a British brand of predominantly four-wheel drive, off-road capable vehicles, owned by multinational car manufacturer Jaguar Land Rover (JLR), since 2008 a subsidiary of India's Tata Motors).Hivi ni Muingereza au Mhindi?
Defender tdi mhindi alikuwa bado hajaanza kuimiliki kampuni ya landrover labda baada ya kuja defender puma.Mie naonaga hii gari ya Mhindi iko over rated.. Serikalini walizishibokea sana miaka hiyo ila wakaona zinakufa mapema kuliko Landcruser ya mkonga, wakazi diss!
Mkuu defender petrol hiyo itakuwa sio tdi tena na ni V8 labda.kwenye Maisha yangu nimemwomba Mungu nimiliki hizi gari tu. Nina uzoefu wa miaka mitatu natumia hizi gari aisee ni nzuri over watu wanavyosema unapita popote na zina stability nzuri sana barabarani. Ukitaka uzifaidi zaid tumia ambazo ni petrol hutakaa uache hizi landrover ni zaid na Zaidi.
Inatengenezwa na waingereza mhindi na kampuni yao TATA ni wamiliki ndugu.Hahaha itakua haujui hata Range Rover inatengenezwa na wahindi mkuu wahindi wa TATA...waingereza walishauza share nyingi kwa TATA
Na pamoja na tdi kuwa na cc chini ya 3000 na 1hz kuwa na cc 4200 bado tdi kwenye speed inaenda sambamba na na 1hz na kwenye milima 1hz inasanda.sema Landrover hakubase sana kutengeneza engine zenye cc kubwa kama cruiser.labda kwa discovery 3 and 4
Taja hio kampuni ya kiingereza inayotengeneza...Inatengenezwa na waingereza mhindi na kampuni yao TATA ni wamiliki ndugu.
Na kwenye matope ni hatari Sana wakiongozwa na Babu Yao land rover 109Na pamoja na tdi kuwa na cc chini ya 3000 na 1hz kuwa na cc 4200 bado tdi kwenye speed inaenda sambamba na na 1hz na kwenye milima 1hz inasanda.
Ipo mahali.. Tdi 300, ukiwa tayari hela mfuko wa shati ni PMHizi LRD Natafuta pick then naipeleka kwa mtu mbad @capitalzone4x4 pale chuga anai-pimp hapo road sio brazamen wala sistadu mwenyewe lazma udenda umtoke!
Sijawahi kuona waasi wakishibokea BMWhaina upambe hio ukizingua mjegejo tu🤣🤣🤣
mkuu tumia discovery 2v8 utaona utafauti kabisaMkuu defender petrol hiyo itakuwa sio tdi tena na ni V8 labda.
Jamaa ni hatari na Defender walivyotoa 130 ndo wamepotea njiani kabisa maana wamerudi kwa discoverKuna jamaa wametengeneza dude wanaliita Grenadier. Likiingia sokoni Defender itapata changamoto saana.
Grenadier is what defender was supposed to beKuna jamaa wametengeneza dude wanaliita Grenadier. Likiingia sokoni Defender itapata changamoto saana.
Kabisa. Japo jamaa wamezingua. Wanatumia engines na gearbox za BMW. Ilifaa watumie za Toyota ndio ingekuwa uhakika.Grenadier is what defender was supposed to be
Hao Grenadier si ligari la umeme lileKabisa. Japo jamaa wamezingua. Wanatumia engines na gearbox za BMW. Ilifaa watumie za Toyota ndio ingekuwa uhakika.
Yes. Wamezingua saana.Jamaa ni hatari na Defender walivyotoa 130 ndo wamepotea njiani kabisa maana wamerudi kwa discover
Hapana. Lina engines za BMW za 3.0l. Ya petrol na diesel.Hao Grenadier si ligari la umeme lile