Kwanini kwenye sherehe za harusi na send off wanawake hupenda kuacha vifua wazi?

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Tanzania bado sana.

Ukitaka kuona wanawake 'wameboost' shiriki tu kwenye harusi au send off. Wengi hupenda kuachia maziwa wazi ama kuyabana vizuri ili yafyatuke wanaume wayaone vyema.Si mke wa mtu, si mjane, si mdada mhangaikaji!

Nini hii?
 
Tanzania bado sana.

Ukitaka kuona wanawake 'wameboost' shiriki tu kwenye harusi au send off. Wengi hupenda kuachia maziwa wazi ama kuyabana vizuri ili yafyatuke wanaume wayaone vyema.Si mke wa mtu, si mjane, si mdada mhangaikaji!

Nini hii?
Sasa mkuu ulitaka wa boost msibani wakiwa wamevaa madera?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…