Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Mtume rasul ....watu mmetumwa majibu gani haya.hahahaNigga stay where you are
Sasa mkuu ulitaka wa boost msibani wakiwa wamevaa madera?Tanzania bado sana.
Ukitaka kuona wanawake 'wameboost' shiriki tu kwenye harusi au send off. Wengi hupenda kuachia maziwa wazi ama kuyabana vizuri ili yafyatuke wanaume wayaone vyema.Si mke wa mtu, si mjane, si mdada mhangaikaji!
Nini hii?
Ilibaki kidogo ujiite "papuchi" hehehe (easy mkuu utani tu)Fata kilichokupeleka
Ameandika vitu vya kusadikika sana kwanini asitie nyama walau kidogo??tuwekee picha
weka picha ya huu utafiti wako ili tuthibitishe kama hatulishwi matango pori..
Picha muhimu, narudi sasa hivi
Tupia picha kusindikiza uzi bado uko nusu sanaa
Hii hoja ina nguvu sana Mh Mwenyekitituwekee picha