Kwanini kwenye sherehe za harusi na send off wanawake hupenda kuacha vifua wazi?

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,551
Tanzania bado sana.

Ukitaka kuona wanawake 'wameboost' shiriki tu kwenye harusi au send off. Wengi hupenda kuachia maziwa wazi ama kuyabana vizuri ili yafyatuke wanaume wayaone vyema.Si mke wa mtu, si mjane, si mdada mhangaikaji!

Nini hii?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom