Mitha
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 706
- 1,023
Weka akiba ya maneno mkuuDunia inazidi kukolea utandawazi,2.Wanawake kupoteza sifa yao ya aibu. 3.wengi wao hawawazi ndoa kweli ila kuna sehemu analenga.n mwisho idadi ya wanaume ndogo.Kwng mm anayetafu siwezi siwezi kuoa.