Kwanini kutafuta mume kumeongezeka sana?

Kwanini kutafuta mume kumeongezeka sana?

Dunia inazidi kukolea utandawazi,2.Wanawake kupoteza sifa yao ya aibu. 3.wengi wao hawawazi ndoa kweli ila kuna sehemu analenga.n mwisho idadi ya wanaume ndogo.Kwng mm anayetafu siwezi siwezi kuoa.
Weka akiba ya maneno mkuu
 
Ndio maisha hayo napenda wanavyoondokana na aibu ya kutafuta mpenzi mitandaoni. Wanaume mmnaringa mko wengi tena humu ndio mmejaaaaaaa, acha wawasake kama huko hamuwaoni.
Ulitongoza wangapi wakakutolea nje?
 
Umesema wanaume mnalinga tena mmo humu
Nikakuuliza kiswali cha kizushi ni wangapi uliwatongoza wakakulingia?

Oooh

Sijawahi kufanya hivyo. Niliandika kutokana na kuona wengine wanavyorudia maombi yao mara nyingi, na majibu ya wanaume wengi wanayopost.
 
Back
Top Bottom