kwani hapo mwanzo walikuwa wengi???Wanaume wamekuwa wachache
kwani hapo mwanzo walikuwa wengi???Wanaume wamekuwa wachache
Njoo kwangu Evelyn Salt na hutajutia.Natafuta mchumba baadae aje kuwa mme
Kweli?Njoo kwangu Evelyn Salt na hutajutia.
Ndiyo...I admire your brain hata kama sijakuona.Kweli?
Khaahh KhaahhKwa sababu wanaume ndio wameonyesha kutekwa na kupotea. Lakini pia kwa trend ilivyo, ukilinganisha na ukimya wa wenye kaya, wataendelea kutekwa na kupotezwa. Wa mama wanatafuta wa akiba, iil hata wakitekwa wawili, abaki na mmoja.
Naja pm basi tuanze utaratibuNdiyo...I admire your brain hata kama sijakuona.
Ever Me namtaka mdogo wako yule si unajua tenaNatafuta mchumba baadae aje kuwa mme



Sawa shemeji ngoja nikufanyie udalaliEver Me namtaka mdogo wako yule si unajua tena![]()
Wanajamvi,
Nmekuwa nkifatilia sana idadi ya KE wanao tafuta wenza ila kwa awamu hii ya JPM naona kasi imezidi. Labda mnisaidie.
Karibu kwa mikono miwiliNaja pm basi tuanze utaratibu
we jukwaa lako sio huku! nenda huko unakojipendekezaga!Ndio maisha hayo napenda wanavyoondokana na aibu ya kutafuta mpenzi mitandaoni. Wanaume mmnaringa mko wengi tena humu ndio mmejaaaaaaa, acha wawasake kama huko hamuwaoni.