Ushajiweka tayari kuwa mke?? Isije ikawa kile kisa cha swahiba wangu jana!!!Natafuta mchumba baadae aje kuwa mme
Kazi hamna bora biashara hiiWanajamvi,
Nmekuwa nkifatilia sana idadi ya KE wanao tafuta wenza ila kwa awamu hii ya JPM naona kasi imezidi. Labda mnisaidie.
Na wao wamegundua hawajiiNatafuta mchumba baadae aje kuwa mme
Wanajamvi,
Nmekuwa nkifatilia sana idadi ya KE wanao tafuta wenza ila kwa awamu hii ya JPM naona kasi imezidi. Labda mnisaidie.
Mmh: Habar njema hiziNatafuta mchumba baadae aje kuwa mme
Wanaume wengi wamechalala.....hawahongi kama zamani.Wanajamvi,
Nmekuwa nkifatilia sana idadi ya KE wanao tafuta wenza ila kwa awamu hii ya JPM naona kasi imezidi. Labda mnisaidie.
Ndio maisha hayo napenda wanavyoondokana na aibu ya kutafuta mpenzi mitandaoni. Wanaume mmnaringa mko wengi tena humu ndio mmejaaaaaaa, acha wawasake kama huko hamuwaoni.

Toto tunduNatafuta mchumba baadae aje kuwa mme
Hajui hata ana maanisha nnHaha... kwa hiyo unataka kumaanisha nini mkuu?

Hahaha serious!Hajui hata ana maanisha nn![]()
Dunia inazidi kukolea utandawazi,2.Wanawake kupoteza sifa yao ya aibu. 3.wengi wao hawawazi ndoa kweli ila kuna sehemu analenga.n mwisho idadi ya wanaume ndogo.Kwng mm anayetafu siwezi siwezi kuoa.Wanajamvi,
Nmekuwa nkifatilia sana idadi ya KE wanao tafuta wenza ila kwa awamu hii ya JPM naona kasi imezidi. Labda mnisaidie.