HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,691
- 2,303
Habarini,
Kumekuwa na mgongano wa maslahi karibu kwenye kila famila ya kiafrika pale linapokuja swala la wazazi kuanza kumpeleka mtoto mdogo kuabudu dini fulani wakati mtoto hajui lolote na baadae anafuata na kukubali asichokijua bali alichoaminishwa tangu utoto.
Kama mambo mengi ikiwemo ajira,nida,kuoa,ubunge,nk yanafanyika baada ya mtu kufikisha miaka 18 basi na kuabudu pia kuwekewe sheria hiyo ili mtu aabidu anachokijua baada ya kuwa mtu mzima.
Nawasilisha!!
Kumekuwa na mgongano wa maslahi karibu kwenye kila famila ya kiafrika pale linapokuja swala la wazazi kuanza kumpeleka mtoto mdogo kuabudu dini fulani wakati mtoto hajui lolote na baadae anafuata na kukubali asichokijua bali alichoaminishwa tangu utoto.
Kama mambo mengi ikiwemo ajira,nida,kuoa,ubunge,nk yanafanyika baada ya mtu kufikisha miaka 18 basi na kuabudu pia kuwekewe sheria hiyo ili mtu aabidu anachokijua baada ya kuwa mtu mzima.
Nawasilisha!!