haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 1,481
- 3,551
Nimekuja sehemu msibani, nimekaa kwenye kiti, amekuja jamaa ameweka kitu chake kinagusana kabisa na kiti changu, huku mabega yake yakikutana na yangu.
Nikakausha, sasa jamaa anapiga story anajisahau anakugusa miguuni, hii kitu ni very awkward. Nashindwa kumuelewa huyu jamaa yeye anaona kawaida au anamatatizo hanastarabika?
Nikakausha, sasa jamaa anapiga story anajisahau anakugusa miguuni, hii kitu ni very awkward. Nashindwa kumuelewa huyu jamaa yeye anaona kawaida au anamatatizo hanastarabika?