Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,378
Mikono na akili nyingi hutumika katika typing ndo jibu
Una maanisha IPO kwenye flash? Basi jibu ni gharama za wino ndo mana inakuwa hivyoDocument linakuwa lishaandaliwa, mtu akifika stationary ni kuprint tu.....Gharama ya kuprinti ukifanyiwa typing huwa inaenda hadi 1,000 kwa page 1
jaribu kuelezea kwa undani zaidiUna maanisha IPO kwenye flash? Basi jibu ni gharama za wino ndo mana inakuwa hivyo
Kivipi, Maana unaweza kuprint document then ukaitolea kopi hio document uliyoprint na kukawa hakuna tofauti ya wino kukolea au kufifia kati ya iliyoprintiwa na iliyorolewa kopiWanasema wino unaotumika kwenye printing huwa mwingi kuliko wa copying
sio kweli, tofauti inayofanya bei iongezeke hapo ni kama member mmoja alivyosema typing na kama ikija kwenye flash-disk basi hapo gharama ni kutumia Computer tu,Wanasema wino unaotumika kwenye printing huwa mwingi kuliko wa copying
We ndo umejaribu kujibu, gharama zinaongezeka simply unatumia komputa na printer baaasisio kweli, tofauti inayofanya bei iongezeke hapo ni kama member mmoja alivyosema typing na kama ikija kwenye flash-disk basi hapo gharama ni kutumia Computer tu,
japo kuna baadhi ya Printer wino unatumika tofauti kwny copying au printing.
Kuna wengine wanakujaga na laptop zao ila bei ya kuprint ni ile ileWe ndo umejaribu kujibu, gharama zinaongezeka simply unatumia komputa na printer baaasi
Acha kudanganya. Laptop yako iwe na drivers za printa ya kwenye steshenari?Kuna wengine wanakujaga na laptop zao ila bei ya kuprint ni ile ile
Stationery nyingi zinatumia photocopy mashine za canon image runner series, Hizo mashine zinaingiliana sana drivers aendapo mtu akiwa ameinstallAcha kudanganya. Laptop yako iwe na drivers za printa ya kwenye steshenari?
Watakua wametoka KAM College hao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaofanya kazi stationary wana mambo.. unaweza kwenda kufanya binding ukaambiwa hamna umeme