Kwanini Kshs. ina thamani kubwa kuliko Tshs?

Expensive life

JF-Expert Member
May 2, 2020
1,688
5,446
Huu mjadala nimeukuta mahali, kwanini pesa ya Kenya inathamani kubwa kuliko ya Tanzania?

Mjadala ulikuwa mkubwa sana watu kidogo wazichape, mkenya alikuwa mmoja tu watz tulikuwa kama wote.

Wapo waliodai utofauti wa pesa yetu na yao ni namba tu, kwa mfano 500 ya kenya ni sawa 10k ya tz watu wakaenda mbali zaidi wakadai Kenya wameamua kuipa thamani kubwa 500 kwamba hii 500 unaweza kwenda nayo buchani na ukanunua nayo nyama.

Ni kama ilivyo hapa tz utitaka nyama safi kabisa unaipata kwa 10k kwa kilo moja.

Lakini mimi sikukubaliana nao, tukirudi miaka ya nyuma kidogo nakumbuka pesa yetu ilikuwa na thamani sana, miaka ile ukiwa na 500 unakula chakula kwa mama ntilie na unashiba.

Miaka ile wakati nasoma mzee kila siku alikuwa ananipa 200, nauli ya daladala 50 kwenda na kurudi nitatumia 100 mia inayobaki nitatesa nayo sana kipindi kile ubuyu ulikuwa sh. 5 barafu sh10, hapo nitabana hamsini ibaki nikaangalie movie kibanda umiza.

Wanauchumi embu nitoeni matongotongo, nini kimepelekea pesa yetu kuporomoka hivi? Mbona ya wenzetu imebaki palepale.
 
Mimi siyo mchumi ila na share mjadala, nilienda Kenya eneo la Olasti-Laitokitok nilikuwa na elf moja ya kitanzania nikauliza soda ya take away ni bei gani? Nikaambiwa ni shilingi 50 ya Kenya Ila ya Tanzania Ni elfu moja, nikawapa shilingi elfu moja ya Tz wakanipa soda nikanywa....leo shilingi elfu moja ya TZ ni sawa karibia shilingi 43.478 ya Kenya hivyo ya TZ imeshuka kiasi. Sasa baada ya kupata soda kwa book ya TZ basi nikahisi ni suala la namba tu lakini wachumi wanaweza kutupa elimu zaidi maana book yangu nikiwa Kenya ilifanya kazi sawa na ile ingefanya TZ kwa kipindi kile
 
Mimi siyo mchumi ila na share mjadala, nilienda Kenya eneo la Olasti-Laitokitok nilikuwa na elf moja ya kitanzania nikauliza soda ya take away ni bei gani? Nikaambiwa ni shilingi 50 ya Kenya Ila ya Tanzania Ni elfu moja, nikawapa shilingi elfu moja ya Tz wakanipa soda nikanywa....leo shilingi elfu moja ya TZ ni sawa karibia shilingi 43.478 ya Kenya hivyo ya TZ imeshuka kiasi. Sasa baada ya kupata soda kwa book ya TZ basi nikahisi ni suala la namba tu lakini wachumi wanaweza kutupa elimu zaidi maana book yangu nikiwa Kenya ilifanya kazi sawa na ile ingefanya TZ kwa kipindi kile

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa ngoja tuwasubiri wajuzi wa haya mambo.
 
Mimi siyo mchumi ila na share mjadala, nilienda Kenya eneo la Olasti-Laitokitok nilikuwa na elf moja ya kitanzania nikauliza soda ya take away ni bei gani? Nikaambiwa ni shilingi 50 ya Kenya Ila ya Tanzania Ni elfu moja, nikawapa shilingi elfu moja ya Tz wakanipa soda nikanywa....leo shilingi elfu moja ya TZ ni sawa karibia shilingi 43.478 ya Kenya hivyo ya TZ imeshuka kiasi. Sasa baada ya kupata soda kwa book ya TZ basi nikahisi ni suala la namba tu lakini wachumi wanaweza kutupa elimu zaidi maana book yangu nikiwa Kenya ilifanya kazi sawa na ile ingefanya TZ kwa kipindi kile

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Ila bongo ungekunywa soda 2
 
Huu mjadala nimeukuta mahali, kwanini pesa ya Kenya inathamani kubwa kuliko ya Tanzania?

Mjadala ulikuwa mkubwa sana watu kidogo wazichape, mkenya alikuwa mmoja tu watz tulikuwa kama wote.

Wapo waliodai utofauti wa pesa yetu na yao ni namba tu, kwa mfano 500 ya kenya ni sawa 10k ya tz watu wakaenda mbali zaidi wakadai Kenya wameamua kuipa thamani kubwa 500 kwamba hii 500 unaweza kwenda nayo buchani na ukanunua nayo nyama.

Ni kama ilivyo hapa tz utitaka nyama safi kabisa unaipata kwa 10k kwa kilo moja.

Lakini mimi sikukubaliana nao, tukirudi miaka ya nyuma kidogo nakumbuka pesa yetu ilikuwa na thamani sana, miaka ile ukiwa na 500 unakula chakula kwa mama ntilie na unashiba.

Miaka ile wakati nasoma mzee kila siku alikuwa ananipa 200, nauli ya daladala 50 kwenda na kurudi nitatumia 100 mia inayobaki nitatesa nayo sana kipindi kile ubuyu ulikuwa sh. 5 barafu sh10, hapo nitabana hamsini ibaki nikaangalie movie kibanda umiza.

Wanauchumi embu nitoeni matongotongo, nini kimepelekea pesa yetu kuporomoka hivi? Mbona ya wenzetu imebaki pale pale.
Subiri kwanza tunaangalia jinsi ya kuchomeka mafanikio ya Mamasamia kwenye kukujibu, tukiwa tayari tutakujibu.
 
Yeah mtoa hoja nami ninashangaa sana hata Zambian Kwacha imekua na thamani kubwa mno kuliko Tshs yetu!
Kwacha naskia wamebadili pesa zao mfano ile iliyokua kwaxha 1000 sasa inaitwa kwacha 1, iliyokua kwacha 10000 sasa ni kwacha 10 nakuendelea. Fuatilia hata tarehe za hizo fedha ni za miaka ya karibuni tofauti na zile za zamani ambazo hazikua na thamani dhidi ya tsh
 
Mm siyo mchumi ila thamani ya pesa ya Kenya na Tanzania zinatokana na uchumi. Uchumi wa Kenya upo mbele kidogo. Zamani thamani zilikuwa sawa ila vita Kagera na Uganda+ na kuanguka umoja wa kisovieti ndivyo vilichangia kuanguka kwa thamani ya pesa zetu na lingine ni hatuuzi sana bidhaa nje ila tunaagiza sana bidhaa nje.
 
Hapa JF hakuna ngwini wote walisoma MD na Engineering tu
hili kama lina ukweli kwa asilimia nyingi...

Jf wengi ni MD, Engineers na Wafanyabiashara wasio soma lakini wana akili na waliobaki wote wapo mamtoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom